kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,341
- 12,045
Jamani tuoneeni huruma, ni mitaa ya hapa kinyerezi dar, huku wasabato huku waislamu, inakera sana, majibizano ya matusi, kejeli, dhihaka kwenye vipaza sauti mpaka usiku mkubwa bila kujali watoto wadogo na wengine ambao wamechoka wanahitaji kupumzika. Natumaini ufalme wa mbingu hautafutwi hivo, this is barbaric deeds of high order!