You did not read it right I wrote OAU; will you please double check it before complaining ...
A bird doesn't sing because it has an answer, it sings because it has a song
Which particular bird are you referring to?!?..I love birds,u know.
The AUDIT is your personal Expenditure; i.e travelling, hotel stay, food, drinks, clothing, paying an assistant, some
clothing - in which some are being paid by UN due to her position
Haya mambo yalishawekwa hapa JF huko nyuma. Kuna article ilitoka ikieleza sakarasi za huyu mama kusaka support kwa muhula wake wa pili. Baada ya hap kukawa na kama ka-campaign ka kusafisha mambo. Lakini Migiro alipata cheo kutokana na kazi kubwa ya udalali iliyofanywa na Tanzania kumsaidia Ban Ki-Moon kupata cheo cha ukatibu mkuu. Wakati wa kumpata katibu mkuu UN, Tanzania ilikuwa chair wa AU, lakini pia ilikuwa inashikilia kiti cha usalama kwenye UN-security Council ikiongozwa na Balozi Mahige. Ni kwa kutumia nafasi hizo Tanzania iliweza kufanya ushawishi ndani ya AU na kumuunga mkono Ban Ki-Moon.
Hata hivyo kwangu mimi huu ni mchezo mzuri kwenye siasa za kimataifa na inaleta sifa nzuri kwa Tanzania kama tunaweza kuwa na ushawishi. Shida sasa inakuja kwenye utendaji wa hao wanapata nafasi hizo. Tanzania tunaonekana kususua, kuna issue ya Getrude Mongela, Prof Tibaijuka naye aliondolewa kwenye kiti cha mambo ya Mazingiria UN na kukawa na kelele kelele. Sasa tuna hii ya Migiro. Pengine tujiangalie tena ili kubaini namna nzuri ya kujiimarisha ili hao wanaopata nafasi kwenye hivyo vyombo wanfanye vizuri.
Dr. Migiro is understood to have approached the African Group, the largest regional group comprising of 28 percent of all UN members, to ask for help in lobbying for her re-appointment, but her quest was rejected. She wasnt popular amongst diplomats; so nobody listened to her. You should also recall that her appointment was widely criticized.
Uzushi, hawa wazungu waliitaka hiyo nafasi siku nyingi, yuko jamaa kutoka ujerumani amekuwa akiiwania hiyo post siku nyingi kwa kumzushia mambo mengi sana dada yetu,kna wakati walijaribu ku question hata PHD yake aliyoipata huko Ujerumani lakini akashindwa,sina uhakika kama atakuwa amepewa yeye hiyo nafasi,nilikuwa sielewi kumbe hata wazungu fitina ni nyingi?Bitna,Bitna,Bitna kila mahali hasa kukiwa na lishe nzuri,
Kwahiyo issue hapa si GPA nono, ni utendaji tu. Nachelea kusema GPA ya prof. maji marefu na V. Kamata si issue. tuangalie utendaji.dah mi nilijua tu , eti ohoo mara ana GPA kubwa kutoka UDSM hakuna aliyevunja record kwa kozi ya Law , hivi kwani GPA ndo inafanya kazi wajameni eeh mbona kashindwa sasa na GPA yake ya 4 , ohhhooo JK alimu overstate huyu Dr Rose Migiro ndo maana mambo yamekuwa vice versa , tafakari chukua hatua haki elimu khekhekhe
Mbona yeye sasa anatuambia kuwa utumishi wake UN umemletea sifa nyingi yeye binafsi na Taifa lake la Tanzania? Kumbe alikuwa yupo yupo tu?
Eee bwana kama hazitoshi hazitoshi tu!mkuu,embu tuwekee kwa kiswahili basi si unajua huu utawala wa mabwepande umetubagua elimu ya kata tunaunga unga hata atufiki hata tukifka umri tena inakua kikwazo,tusaidie mkuu
Hawakumuhitaji tena
Tunaambiwa ya kwamba kwa miaka hiyo DR Rose alipata kuwa mwanafunzi wa mwalimu Prof Migiro wa pale Mlimani. Akawa ni mtu kichwa kweli kweli mbele ya wanafunzi wengine hadi kuweka 'rekodi' huko law.
Lakini mwisho wa siku ndipo akaweka rekodi nyingine kubwa zaidi ambayo haitokaa ivunjwe kwa vyo vyote vile; akachaguliwa kuwa 'Mama ya Wtoto' wa mwalimu wake huyo - Prof Migiro hadi kesho.