Ewah! AMUN RAIbada..
HahahahaIbada..
Ouch! Hiyo kali Mshana jr!Nilishawahi kutaka kujaribu hii kitu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hivi vitu ni inside out, na unazaliwa navyo! Huwezi kuvi force, bali vinatokea automatically! Ndiyo maana matajiri wengi au wakuu wa nchi wakiamua kitu ndio hicho hicho tu mpaka kifanyike, hizo ni energy kubwa zinazotoka ndani yao, na hizo energy zina mpa protections za hali ya juu, na hapa naongelea kwa wale walio zaliwa nazo (blueprint). Za kununuwa kwa waganga zina expiring date....na ikiisha! MWAAAFAAASishauri mtu ajaribu kama hana msingi mzuri wa kiroho na kiimani... Unaweza kuingia kwenye shimo ambalo hutaweza kutoka
Ndiyo maana wafalme wa zamani walikuwa wana sema! When God decided it must be done and I am chosen by God and this is my decision! Mjadala unafungwa na ukimpinga zile nguvu zina mtetea unaweza usiamke asubuhi, wafalme hata vitani walikuwa wanakwenda live! hahahaha It is time!Sishauri mtu ajaribu kama hana msingi mzuri wa kiroho na kiimani... Unaweza kuingia kwenye shimo ambalo hutaweza kutoka
Indeed!Ibada..
Oh no! That's mean jamani!
Indeed!
Casta Mvungi sina hakika kama ni wewe naekufaham dadaangu, una mdogo/ kakaako anaitwa Alfred au Mteta Mvungi? Nilisoma nae zamani na wewe ulitutangulia madarasa primary school..Aseee
Daaah shikamoo dada najua huwezi nikumbuka... mara ya mwisho nilikua na nae Alfred pale chuo cha Ardhi nilimtembelea prof Mbyopyo zamani I mean..nikija Tz ntamtafuta nakijua kichwa kileNdiye mimi hujakosea.Mdogo wangu huyo kwasasa ni Engneer.
safi sana