Mida ya wanga

Mshana Jr....naomba KUULIZA swali kidogo...

Hivi hawa Wanga na Wachawi huwa WANAUGUA kweli..!!?

Na Je..? Ikiwa wataugua WANATIBIWA wapi..!!
 
Mshana Jr....naomba KUULIZA swali kidogo...

Hivi hawa Wanga na Wachawi huwa WANAUGUA kweli..!!?

Na Je..? Ikiwa wataugua WANATIBIWA wapi..!!
Kuna magonjwa kama malaria kipindupindu nk hayajui uchawi ninini..asipotibiwa hospital anakufa bahati mbaya ama nzuri wengi wanajua mitishamba hivyo hujitibia
 
Kuna magonjwa kama malaria kipindupindu nk hayajui uchawi ninini..asipotibiwa hospital anakufa bahati mbaya ama nzuri wengi wanajua mitishamba hivyo hujitibia
Ahsante MKUU...Maana kuna KIBIBI kiko Mtaani kwangu..watu wanasema ni "KIGAGULA"...

Mara kwa mara kinanipiga MIZINGA kikiomba hela kwa madai ya kununua DAWA..!!

Nilikuwa najiuliza...Mwanga anaumwa vp...!!?

Sasa nimekuelewa.
 
Back
Top Bottom