Dk michuzi mkono wa nyuma wa nnini kwa mke wa mwenzio???? Mbona mwenzio yuko komfotabo!! Mi hapa ndipo unaniacha hoi ujivungi kutoa hisia zako na ulivyo ukiwaona models!!!
Shalom kwa mama michuzi...
umejuaje kuwa huyo ni mke wa jamaa, hata kama ni mke wa jamaa huwezi jua wana mazoea gani?, na kama umeona jamaa yupo confortable wewe kinakuuma nini?
kama lengo lako ni kuvunja ndoa ya jamaa (Michuzi), kwa nini usiipeleke hii picha na maelezo yako kwa mama Michuzi unaemkusudia kuliko kuibandika hapa na kuandika ujinga?