Ushuhuda kwa wale wanaokubaliana na ndoa

Sharbel

JF-Expert Member
Feb 20, 2020
1,076
2,242
Good evening wakurungwa.

Ni muda sasa umepita tokea mzozo wa kataa ndoa, nadhani wale wanaokubaliana na ndoa hawakuwa na hoja zaidi ni hisia tu.

Nikikumbuka moja ya hoja yao kuu ni kwamba wanaoa ili uzeeni watunzwe na wake zao yaani wapikiwe, wafuliwe, waogeshwe n.k

Lakini tuliwapinga sana juu ya hoja hiyo lakini bila kupoteza muda ngoja niende kwenye ushuhuda wangu moja kwa moja.

Leo nikiwa hospital X nimeshuhudia Mume kamsindikiza Mke wake hospitali, kiufupi Mke hajiwezi hata kidogo, kachoka mbaya yuko hoi.

Hivyo Mume kachukua majukumu ya kumlea mke wake, na ugonjwa wa yule mwanamke ni wa kudumu.

Mwisho, kusudi la kuandika uzi sio kushangaa Mme kuuguza Ke, bali kutoa ushuhuda wa wale kubali ndoa kuwa hoja yao ni dhaifu sana, na hivyo hakuna guarantee ya kusema kwamba uzeeni, mume atapata shida.
 
Siku mkipata akili ya kiutu uzima ndio mtaelewa kwa nini wazazi wenu walioana.

Kifupi kama mtu hataki kuoa basi ataolewa tuu kwa namna yoyote ile, iwe mwanaume au mwanamke.
Akili ya kiutu uzima ni ipi. ?

Hivi wazazi hawakosei au ?

Usikute Babu yako ni kinjikitile ngwale au Chief Mangungo
 
Akili ya kiutu uzima ni ipi. ?

Hivi wazazi hawakosei au ?

Usikute Babu yako ni kinjikitile ngwale au Chief Mangungo
Babu yangu alikuwa dume haswa haswaa ni mmoja wa ma chief wakubwa sana na mimi sina udhaifu huo wa kataa ndoa, asili yangu ni kuoa wake zaidi ya 5 sasa nyie endeleeni na kataa ndoa tutakuja kuwaoa tuu.
 
"basi ataolewa" bado n ndoa

KIJANA USIOE
KATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI

SAVE KIBUNDA KALE BATA
Endeleeni na kampeni sie waoaji tupo na tutazidi kuwaoa japo mtakimbia hizi ID zenu.

Pesa uta save kwa akili zako kama uko timamu hakuna kitu kitakushinda kwenye ndoa.
 
Good evening wakurungwa.

Ni muda sasa umepita tokea mzozo wa kataa ndoa, nadhani wale wanaokubaliana na ndoa hawakuwa na hoja zaidi ni hisia tu.

Nikikumbuka moja ya hoja yao kuu ni kwamba wanaoa ili uzeeni watunzwe na wake zao yaani wapikiwe, wafuliwe, waogeshwe n.k

Lakini tuliwapinga sana juu ya hoja hiyo lakini bila kupoteza muda ngoja niende kwenye ushuhuda wangu moja kwa moja.

Leo nikiwa hospital X nimeshuhudia Mume kamsindikiza Mke wake hospitali, kiufupi Mke hajiwezi hata kidogo, kachoka mbaya yuko hoi.

Hivyo Mume kachukua majukumu ya kumlea mke wake, na ugonjwa wa yule mwanamke ni wa kudumu.

Mwisho, kusudi la kuandika uzi sio kushangaa Mme kuuguza Ke, bali kutoa ushuhuda wa wale kubali ndoa kuwa hoja yao ni dhaifu sana, na hivyo hakuna guarantee ya kusema kwamba uzeeni, mume atapata shida.


Angalia sana uwezo wako wa kufikiri ni mdogo ukiutegemea utakupoteza.
 
Babu yangu alikuwa duke haswa haswaa ni mmoja wa ma chief wakubwa sana na mimi sina udhaifu huo wa kataa ndoa, asili yangu ni kuoa wake zaidi ya 5 sasa nyie endeleeni na kataa ndoa tutakuja kuwapa tuu.
Hata Mangungo alikuwa Chief mkubwa tu
 
Endeleeni na kampeni sie waoaji tupo na tutazidi kuwaoa japo mtakimbia hizi ID zenu.

Pesa uta save kwa akili zako kama uko timamu hakuna kitu kitakushinda kwenye ndoa.
KATAA NDOA
KIJANA USIOE
SAVE KIBUNDA KALE BATA
NDOA NI KIFO
 
ni taasisi tu ya kijamii kama dini, dini naona umuhimu wake umeisha tunaweza kuacha, ila ndoa badobado kwanza

kulea watoto, kuzagamuana bila hofu, majukumu ya kijinsia kama kuzaa kwa wanawake, kutunza familia kwa wanaume, yote yanatekelezeka vizuri kwenye ndoa....

mambo ya undugu, kuwepo kwa kina shangazi, mabinamu yote ni kwasababu ya kuwepo kwa familia zilizotengenezwa kupitia ndoa

ndo njia nzuri ya matumizi ya rasilimali kwenye jamii, inakua rahisi kila mtu kupata mahitaji maalumu kwasababu kila mtu anakua na ndoa/familia yake
 
Back
Top Bottom