Natanguliza shukrani kwa bro Michuzi DC wa naniii pale kwa huduma yake nzuri anayoitoa kwa jamii kuwasilisha "niuzi" kwetu sote.
Swali langu linakuja hapa, Ni kwamba kuna tangazo pale juu kabisa mara baada ya kuingia kwenye website ya michuzi after tangazo la Ndovu. Hili ni Tangazo la Chuo kimoja hapo London(London School of Commerce), UK kinasema kinadoa MBA kwa bei poa. Sasa swali langu ni hio lugha iliotumiwa na hio shule kwenye spelling ya "course" ambayo wao wameweka "cource" (i presume wanataka kuwa na maana ya course") Nimeangalia definition yake nimekosa.
Gonga cource definition | Dictionary.com
Sasa kama chuo kinasema ni shule inayotoa degree inayotambulika duniani jee hii ni sawa?
Isije ikawa ndio shule zetu za mitaani za kina Dr Nchimbi. Naomba kuwasilisha..
Source ya hilo tangazo:
MICHUZI
Swali langu linakuja hapa, Ni kwamba kuna tangazo pale juu kabisa mara baada ya kuingia kwenye website ya michuzi after tangazo la Ndovu. Hili ni Tangazo la Chuo kimoja hapo London(London School of Commerce), UK kinasema kinadoa MBA kwa bei poa. Sasa swali langu ni hio lugha iliotumiwa na hio shule kwenye spelling ya "course" ambayo wao wameweka "cource" (i presume wanataka kuwa na maana ya course") Nimeangalia definition yake nimekosa.
Gonga cource definition | Dictionary.com
Sasa kama chuo kinasema ni shule inayotoa degree inayotambulika duniani jee hii ni sawa?
Isije ikawa ndio shule zetu za mitaani za kina Dr Nchimbi. Naomba kuwasilisha..
Source ya hilo tangazo:
MICHUZI