OFFORO
Member
- Aug 18, 2008
- 40
- 2
Nina imani kabisa michuzi keshaona maoni haya yote yanayotolewa na wadau wa jamiiforums
sasa basi ni kazi yake kuamua kurekebisha au kuacha ikae ilivyo
na sina uhakika saana kama ataiacha kama ilivyo ila atairekebisha kwa maaana hakuna mmiliki wa website au tv au redio au blog kama kaka yangu michuzi atafurahia kutoa tangazo ambalo halieleweki
kaka michuzi kazi kwako
siye ni barua tunabeba ujumbe
thanks
sasa basi ni kazi yake kuamua kurekebisha au kuacha ikae ilivyo
na sina uhakika saana kama ataiacha kama ilivyo ila atairekebisha kwa maaana hakuna mmiliki wa website au tv au redio au blog kama kaka yangu michuzi atafurahia kutoa tangazo ambalo halieleweki
kaka michuzi kazi kwako
siye ni barua tunabeba ujumbe
thanks