Michirizi ya Damu

Amenihakikishia kwamba hakuna noma Ila sio mbaya ukiwepo kufuatilia tukio kwa mbali mambo yakibadilika unaleta taarifa humu,haaa haaa aaa!!!!
Khaaaaa yamekuwa hayo na kuanza kufatiliwa tena
 
Na ukishaona kuna usalama unasepa unatuacha.Manake Shunie mwenyewe amejiunga JF mwishoni mwa mwaka 2016,kipindi cha utawala wa Jiwe kikiwa kimeshamiri kwa matukio.Huenda yuko humu kimkakati!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…