Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 10,258
- 14,102
Sio uoga ni tahadhari tu Shunie!wewe ni muoga
Sio uoga ni tahadhari tu Shunie!wewe ni muoga
Amenihakikishia kwamba hakuna noma Ila sio mbaya ukiwepo kufuatilia tukio kwa mbali mambo yakibadilika unaleta taarifa humu,haaa haaa aaa!!!!Ww cio TISS kweli![]()
![]()
ucje mpoteza Jackal
Ntajtahid kufuatilia hatua kwa hatua ucjepotezwa banaAmenihakikishia kwamba hakuna noma Ila sio mbaya ukiwepo kufuatilia tukio kwa mbali mambo yakibadilika unaleta taarifa humu,haaa haaa aaa!!!!

Mie shahid mke mweee,unavopokea mazagazagaKheeeee
Wewe.....!Mie shahid mke mweee,unavopokea mazagazaga
Na ukishaona kuna usalama unasepa unatuacha.Manake Shunie mwenyewe amejiunga JF mwishoni mwa mwaka 2016,kipindi cha utawala wa Jiwe kikiwa kimeshamiri kwa matukio.Huenda yuko humu kimkakati!Ntajtahid kufuatilia hatua kwa hatua ucjepotezwa bana![]()
![]()
Na ukishaona kuna usalama unasepa unatuacha.Manake Shunie mwenyewe amejiunga JF mwishoni mwa mwaka 2016,kipindi cha utawala wa Jiwe kikiwa kimeshamiri kwa matukio.Huenda yuko humu kimkakati!

NambieWewe.....!
Konyagi mpaka inawekwa kwenye kidumu kama mbege au mnazi?
Hiyo ya kwenye dumu inaitwa M_BAPAKonyagi mpaka inawekwa kwenye kidumu kama mbege au mnazi?
Weekend anabebishwa, tusubiri muujiza tuMke mweee kipande hki vp