Ameenda porini jamaniUmeona nilikuwa najua lazima utajua ni dharura ipii hiyo jamani
HahahaMweeeeh tena la moyoni halafu jana naona ulimwambia mbebez asikuje eenh mana hata simu wala kupigiwa kimyaa
Sina namna ya kumpata zaidi ya humu akiNimemmiss jamani msalimie sana huko mkiwa mnawasiliana
Sawa mdogo wangu kipenziUtamtafsiria dada![]()
AtaitikaaaWoyoooooooo mpe salam zangu sana
Hahahahakuna mrejesho wala nini angekuja tungekupigia tu nimeona kimyaa nikasema mwenye mbebez wake kashapiga mkwara
Hahahauchoyo upiii huo dada usinipe la moyoni mpaka nifike home nipo kwa mwendokasi mkojo umenibana sana jamani naomba uniombee la sivyo utaniona huko mdada ajikojolea kwa mwendokasi
Huniamini au
Shululu wangu namuachia nani kwa mfanoShemela angu amekupenda na mm nasema sawa akuchukue tu
Na hcho kichina vpHivi mama kule insta umenifollow huna pichanimekuweka kwenye foleni tu ukunda kunishunguia imi tu iwe ukunda kushunguiwa ebu niache kwanza
kama huelewi nenda Google au mwambie sakayo akutafsirie

Tutafsirie hebu