Michirizi ya Damu

Duu!! Bado hajakoma tu huyo Fareed...


Cc: mahondaw
 
Duu!! Inasikitisha sana...

Dhambi zake zimemvutia mtumishi wa Mungu... hatimae mtumishi kaona liwale na liwe... hadi Padri...


Cc: mahondaw
 
Fareed alikua ni sh.oga mzoefu aliyekubuhu... kwa yote aliyopitia maana yake alikua ha.nithi na aliharibika sana na mpaka kujibadilisha kua mwanamke kamili...

Ingawa alijitahidi kujirudishia uanaume wake lakini sidhani kama nguvu za kiume zinaweza kurudi tena na hatimae ku-S.ex na mwanamke...

Labda kama walifanya romance peke yake...


Cc: mahondaw
 
Kapata tiba ya kudungwa sindano.....TUAMINI HIVYO TAFADHARI ILI Shunie ASIGHAIRI KUENDELEA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…