Michepuko inafilisi

Michepuko inafilisi

kwali mkuu hawa watu wanarudisha maendeleo nyuma ila ukishawazoea kuacha ni vigumu ila saa ingine wanasaidia kuondoa stress .
Ni kweli mkuu,ila wengine wanakaba kweli na wako tayari waipoteze familia yako ili uishi naye
 
ha ha ha ha mkuu we acha tu;naweka mikakati ya kupiga chini bila kumuumiza
Ahaaaa Kama unataka kumpiga chini bila kumuumiza mwekee godoro ili akifika chini asiumie....


Mkuu fanya ivii ili ukimwacha asiumie mfungulie biashara yaan hata ukimuacha hata umia
 
Bora hata baba atakwambia mwanangu leo sina subili jumamosi, lakini si michepuko ni hapo
hapo unatoa laki 2, laana za wake lazima zifuate
Nimejitafakari sana,nikaona kwa njia hii matumizi yamezidi na mbaya zaidi mtu anakukontroo zaidi hata ya mke
 
Ahaaaa Kama unataka kumpiga chini bila kumuumiza mwekee godoro ili akifika chini asiumie....


Mkuu fanya ivii ili ukimwacha asiumie mfungulie biashara yaan hata ukimuacha hata umia
Kuna mmoja ndio nimemuomba anipatie mchanganuo wake,lakini nimejaribu kupunguza mawasiliano
 
Nimejitafakari sana,nikaona kwa njia hii matumizi yamezidi na mbaya zaidi mtu anakukontroo zaidi hata ya mke
Na wana control kweli jiulize mke ukimwambia hauna anakuombea baraka upate, yeye ukimwambia
hauna simu na sms zinazidi kila mara hujaona kero na kuamua kutuma hata kwakukopa?
 
Na wana control kweli jiulize mke ukimwambia hauna anakuombea baraka upate, yeye ukimwambia
hauna simu na sms zinazidi kila mara hujaona kero na kuamua kutuma hata kwakukopa?
Ndio hivyo tunajifunza,unawezajikuta unavaa suruali iliyotoboka;hawana huruma
 
Back
Top Bottom