Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 37,959
Wachepuke tu kwa raha zao.ila kumbukeni mtaka nyingi nasaba hupata mingi misiba.
mi nilidhani unataka tukumbuke kondomu...! We naye....
Wachepuke tu kwa raha zao.ila kumbukeni mtaka nyingi nasaba hupata mingi misiba.
Tujiangeje sasa na haya mashindano ya kombe la dunia?
Mimi nina kibali cha kuangalia mechi zote hadi fainali, nimekodishiwa Lodge ya karibu na nyumbanio kwa zile mechi ambazo zitaisha saa kumi na moja asubuhi.....Nampenda Mke wangu hahhahahahahahhaaaa
Mtuwache tutambae kwa raha zetu, mnajua hii ngoma huwa inapigwa kila baada ya miaka mi-nne. Kipindi mhimu sana kwa wana wa kiume!.Wachepuke tu.Kila siku wanapigiwa makelele wala hawasikii achana nao hao tpaul.walishindwa bibi zetu sie tutawawezea wapi?
Mbona umejibu kwa hasira
kakukomesha kwelikweli!!
mmmh wala siwaamini nyie wote mtu na babake ni vibaka...mwaweza kula deal moja....kwani mbona familia yetu kubwa tu kwanini tusiangalie wote nyumbani mimi, wewe Kaizer na mkwe wetu Bantu lady?
Mama Ngina eti amenunua king'amuzi eti niangalie mpira hapa nyumbani, tena kwa sreen ndogo ya chumbani. Mimi nikamuuliza washabiki wako wapi? Maana mpira unanoga panapo kuwa na mashabiki kwa kila timu pinzani. Amebaki kakodoa macho!'@%#-=
Mama Ngina eti amenunua king'amuzi eti niangalie mpira hapa nyumbani, tena kwa sreen ndogo ya chumbani. Mimi nikamuuliza washabiki wako wapi? Maana mpira unanoga panapo kuwa na mashabiki kwa kila timu pinzani. Amebaki kakodoa macho!'@%#-=
hahah na wife siku akiondoka na kibeg usipanick kutakua na mech
Kwani kuna world cup ya netball? Halafu yeye si mpenzi wa michezo kama mimi? Na michezo anayopenda haihitaji kwenda viwanja vya nje!
Huu sasa mfumo jike... Na nikibakiba home kuangalia mechi, remote unaka nayo halafu tunaanza kuwekea AKAPUKO BEI...
Shuruti uje na kibali ndio utapokelewa, Special Reserve tu hahahhhaaa hivi ndio nimerejea nyumbaniMpwa hakuna nafasi kwenye hio gesti nami nije?
Shuruti uje na kibali ndio utapokelewa, Special Reserve tu hahahhhaaa hivi ndio nimerejea nyumbani