Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,157
- 4,454
wacha wajidanganye wenyewe tu bana..sie tutawachunga kama ng'ombe tutaweza wapi?
Si ndo hapo??? mara ngapi wababa wanazima simu kwamba wanaingia kikaoni kumbe wamejipumzisha Hotelini.
wacha wajidanganye wenyewe tu bana..sie tutawachunga kama ng'ombe tutaweza wapi?
Hahahah! umejichokea mama?Aende tu,tena akinogewa aseme kashinda ticket ya kwenda Brazil kabisa ili ahamie huko huko!!!
siendi na mpira siangalii tena, kwani lazima?
Mke wangu kaleta DSTV leo, ndo wanafunga nyumbani.
Sitaki shida ya kuwekwa roho juu na mtu mzima anayejua afanyalo!Hahahah! umejichokea mama?
my son nimemwambia kabisa mkeo Bantu lady ukichepuka tu aniambie nikushughulikie....
Hasa hasa ile mechi ya saa kumi usiku, naenda kulala karibu na eneo la tukio..
Nenda tu Brazil,fainali zikiisha rudi!!
wacha wajidanganye wenyewe tu bana..sie tutawachunga kama ng'ombe tutaweza wapi?
Aende tu,tena akinogewa aseme kashinda ticket ya kwenda Brazil kabisa ili ahamie huko huko!!!
kuna mechi had ya saa 10 usiku
mmmh wala siwaamini nyie wote mtu na babake ni vibaka...mwaweza kula deal moja....kwani mbona familia yetu kubwa tu kwanini tusiangalie wote nyumbani mimi, wewe Kaizer na mkwe wetu Bantu lady?
Si ndo hapo??? mara ngapi wababa wanazima simu kwamba wanaingia kikaoni kumbe wamejipumzisha Hotelini.
Shauri yenu mkichepuka kwenye football huko kwenye nyumba zenu nazo kuna mashabiki wa basketball,riadha na valleyball watawasaidia kushangilia na wake zenu.!!!!!
Zipo, siyo moja ni nyingi! Sasa kama inaanza saa kumi na vibaka hawa, naondoka na ki begi kabisa.
we lig gan ya volleybal inayoendlea sasa,acha bana 2kachek world cup had majogoo,teh teh teg
Tujiangeje sasa na haya mashindano ya kombe la dunia?kuna mechi had ya saa 10 usiku