Michepuko inaanza leo rasmi!

Michepuko inaanza leo rasmi!

kwa attitude yako ataanza nae kupenda soka tu


Hahaaa, namkaribisha, ila awe na moyo mgumu na wa uvumilivu tu, tusisumbuane, maana sometime huwa natembea hadi kibaha kuangalia mechi kutoka Gongo la Mboto!
 
Shauri yenu mkichepuka kwenye football huko kwenye nyumba zenu nazo kuna mashabiki wa basketball,riadha na valleyball watawasaidia kushangilia na wake zenu.!!!!!

sema 'mashabiki wa BEDBALL' hahahahahaha!
 
Duh weldi kapu inabidi iwe miezi mitatu mweeeeeee nimerudi asubuhi hii na amani ipo nyumbani ni vile nawasilisha matokeo tu,Brazil nipeni raha mie msimu huu wa kuchepuka.

Ile uwe makini kukumbuka matokeo na wafungaji waliofunga kwenye mechi hizo. Usije ukarudi home unaulizwa mfungaji wa goli la Colombia alikuwa nani, wewe ukajibu kwamba ni Falcao! Utapokea vitasa ambavyo hujawahi kuviona. Uwe makini sana kwenye eneo hilo la matokeo na wafungaji usije ukaumbuka. Hahahahaha!
 
Hahaaa, namkaribisha, ila awe na moyo mgumu na wa uvumilivu tu, tusisumbuane, maana sometime huwa natembea hadi kibaha kuangalia mechi kutoka Gongo la Mboto!

hahahaaaaaaaaaa yahitaji moyo wa ziada.......na leo kuna mechi tena!!!!!!!!!
 
Hahaaa, namkaribisha, ila awe na moyo mgumu na wa uvumilivu tu, tusisumbuane, maana sometime huwa natembea hadi kibaha kuangalia mechi kutoka Gongo la Mboto!

hahahaha! siku akiandamana nawe mtembeze mpaka ulimi umtoke. kesho yake hatathubutu kukufuata.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom