Michano ya kuwaimbisha watoto mpaka waeleweke

Kwahyo tunamalizia kwa kusema pesa pesa pesa.
Au kunanyongeza
 
Kama hutajitahidi kuwa na maisha mazuri kwa maana uwe na pesa basi wanawake na mademu wazuri utaishia kuwaita SHEMEJI tu.
 
Ni simple sana na hakuna haja ya hela, hao wanaokwambia hela sijui money wanakuonea wivu.
Jitahidi kuvuta bangi sana mistari itakuja yenyewe Auto, tena mistari konki ambayo hata Card B, Zari, Tunda hawezi chomoa.
 
Ni simple sana na hakuna haja ya hela, hao wanaokwambia hela sijui money wanakuonea wivu.
Jitahidi kuvuta bangi sana mistari itakuja yenyewe Auto, tena mistari konki ambayo hata Card B, Zari, Tunda hawezi chomoa.
🙏🙏🙏 Asante sana mkuu hii niliisubiri sana 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom