umemalizaaaaaahUna uchawi wa kizungu??
Kama huna jitahidi uupate
Leta namba upate muamalaHamna cha kuwaimbisha wala michano mkuu! Tuma pesa! Tuma pesa Ni michano tosha shauri yako!
Mkuu upo serious??😉Leta namba upate muamala
🙏🙏🙏 Asante sana mkuu hii niliisubiri sana 🤣🤣🤣Ni simple sana na hakuna haja ya hela, hao wanaokwambia hela sijui money wanakuonea wivu.
Jitahidi kuvuta bangi sana mistari itakuja yenyewe Auto, tena mistari konki ambayo hata Card B, Zari, Tunda hawezi chomoa.