Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,621
- 27,561
- Thread starter
- #201
Sina timu ukweli usemweIla naona kama uko team fulani? Maana naona uko happy kwa hili.
Sina timu ukweli usemweIla naona kama uko team fulani? Maana naona uko happy kwa hili.
Mkuu nakubaliana na wewe mia kwa mia,
weeee mtu Nyama za uso zimeorojeka kama "" uji wa mgojwa lakini still anajikuta kigoli"" hahaaa
Kabisa mkuuEeeh. Makunyanzi hayaongopi.
Nikiwepo mimi sehemu lazima ufurahi enjoy mamaZikiondolewa filter tutajionea mengi,ila nimecheka sana leo dah
Rpc wa mwanza baba yangu aguse mtu aone hivi huoni nilivyo nna kiburiiiiutapigwaaaa!huogopi lakinii
Nakojooooooaaaaaaaaaaaaaakama mtu kazeeka " na uso wake ni kama nyama ya goti "halafu bado anajiona under18" kwanini ukweli usisemwe sasa""
Kwani mkinichora nabadilika nini Bless ,watu mna mikwara aiseee haya raisi magu nimekuogopaa,,,watishe wengine sio mimi aisee walikuwepo wenzio walichokaa wakalalaWe mi kunitukan bila sababu utanichukia aisee, tusichukuliane poa, huo utani wako wakazanie watu wengine usiniletee Mimi, yani we ujiheshimu cjui utakuja kubadilika lini na watu wanakuchora vibaya humu, spendi wehu mimi,
I can see that !Rpc wa mwanza baba yangu aguse mtu aone hivi huoni nilivyo nna kiburiiii
Ahahahahahahahahah missa mimiDogo tambua kuna picha za kutengeneza kumchafua mtu....tizama the same pics toka Instagram kisha rudi hapa. Hizi picha zimetengenezwa na huyu Hamisa mwenyewe (Mama Sabrina) ili watu waanze kumtajataja tena arudi mitandaoni kujadiliwa na wasio na akili.
NakujaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaI can see that !
Binamu umeona eeh!nimekutumia!!
Poa poa!!!!Nakujaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kaka angu mimi humu usinichukulie seriously kabisa haya mambo ni utani,wanaochukulia ukweli ni wapuuzi lazima watu maarufu wajadiliwe tu hakuna namna atakaechukulia personal atajidai ye ndugu wa zari atanitafuta akitakaMi hata sikutishi nakupa onyo tu kuwa na amani, mda mwingine maneno yanauma ila yanatakiwa yawe dawa, anza kubadilika na watu hawata kuchukulia poa, ukiwa na hekima na busara utayachukua maneno yangu,
duuuuhh "" nimeshakuwa Dogo "" thawa brother"" but hapa tunachangamsha genge tu "" hakuna ambaye yupo serious '' nashangaa kuona kuna wengine wamepanic kisa tu zari kasemwa"" huo Ni uzwazwaDogo tambua kuna picha za kutengeneza kumchafua mtu....tizama the same pics toka Instagram kisha rudi hapa. Hizi picha zimetengenezwa na huyu Hamisa mwenyewe (Mama Sabrina) ili watu waanze kumtajataja tena arudi mitandaoni kujadiliwa na wasio na akili.
Hatumchukiii umaarufu shida Bak
Hahahahaa nimecheka sanaPicha ikipigwa vizuri, perfect angle, brightness, exposure, focus hata Pinda hua handsome.
Ana mazuri yake mengi tu kama Mama, CEO, GF etc Mama Sabrina mbona hamyasemi!? Uzee hauna mmoja yeyote atakayejaliwa maisha marefu na Mwenyezi Mungu uzee hawezi kuukwepa kwanini umri wake, muonekano wake ufanyiwe dhihaka!? Kumbuka wahenga walisema kabla hujafa hujaumbwa.
Nadhani hii ni editingKaonekana huko Kenya kwa mara ya kwanzaView attachment 773039