Michael Blackson mwenye asili ya Ghana anaeishi Marekani yupo real sana

MB anafanya vizuri ,katika mastar wa bongo walionisikitisha mmoja wapo ni "Hashimu Sabiti" ,Jamaa alikuwa ashatoka kimaisha na angepata mshauri mzuri angefanya mambo makubwa sana nchini na kutengeneza ajira za kutosha,lakini mwili mkubwa akili kisoda akaishia kuwalamba kina Kidoti na kupiga mitama kina TID.
tatizo chawa
 
Wanawatumia chawa wao au wengine wanawatumia madaktari wao kuwaletea maana daktari wake lazima ajue maana si ndio yeye alimpima na kumpa majibu?
Ila kuna ambao wanasingiziwa nadhani.
Ile list ndefu ya Yule mdau karibia wote wapo.
 
Huyu comedian mwenye asili ya Ghana anaeishi Marekani na kufanya kazi zake za sanaa Nchini Us pia ameshiriki filamu ya Coming to America 2, huwa ananifurahisha sana jinsi anavyopenda kwao Ghana anapenda kucheza miziki ya Afrika, vyakula vya nyumbani yeye ndio anakula hata akiwa marekan mara nyingi anakula ugali.

Pia anarudi sana kwao Ghana anajenga shule huko Ghana ili watoto wasome pia
Kila mara anaenda Kwao kwa mama yake, anapenda kuvaa nguo za vitenge
Anafaa kuigwa japo ana zile live zake za kutwerk na wadada wenye big ass Ila poa Tu.

Ingekuwa mwingine sipati picha ambavyo Angekuwa ananata
Na wengine muige muwe mnarudi nyumbani mfanye na vya maana sio kunywa bia tu
Michael yupo vizuri kiukweli anawapenda sana watu wake wa nyumbani kiujumla Afrika.

View attachment 1779465
Huyu jamaa ukitaka kumuona miaka ya nyuma tazama movie ya Friday.

Nadhani ni ile Next Friday, ambayo Ice cube anaenda kwa baba yake mdogo. Anakutana na Binamu yake DeyDey, wanapoenda katika duka la kuuza Records anapofanya kazi DeyDey, jamaa Michael Blakson atakuja.



Mzee wa "Give my money mazafaka"
 
Katika comedian mpumbavu ni huyu jamaa.... angalia stand up comedy zake anafanya zilezile negative stereotypes kuhusu Africa.
Ndo comedy ilivo hata blaza K anaongea kama wa kigoma which sounds weird and funny to us ila ndo kwao vivo hivo na masanja nae anafanya mambo ya ajabu ya wasukuma n.k
 
MB anafanya vizuri ,katika mastar wa bongo walionisikitisha mmoja wapo ni "Hashimu Sabiti" ,Jamaa alikuwa ashatoka kimaisha na angepata mshauri mzuri angefanya mambo makubwa sana nchini na kutengeneza ajira za kutosha,lakini mwili mkubwa akili kisoda akaishia kuwalamba kina Kidoti na kupiga mitama kina TID.


Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
MB anafanya vizuri ,katika mastar wa bongo walionisikitisha mmoja wapo ni "Hashimu Sabiti" ,Jamaa alikuwa ashatoka kimaisha na angepata mshauri mzuri angefanya mambo makubwa sana nchini na kutengeneza ajira za kutosha,lakini mwili mkubwa akili kisoda akaishia kuwalamba kina Kidoti na kupiga mitama kina TID.
Inasikitisha sana na huwa najiuliza huyu jamaa alifeli wapi, nikaja kugundua USWAHILI na Ubongolala ndio vilimponza.

Anaacha kuimprove career yake huko US tena akiwa NBA player kabisa anakuja kujambiana Kinondoni kumbafu yeye

Leo hii angekuwa Dikembe Mutombo wa TZ, Dikembe Mcongo huyu aliyetumia opportunity vizuri sana huko USA.
 
Back
Top Bottom