King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,672
- 68,638
Kama waliuza mechi dry kisiwa chama imekula kwao.Aaah mkuu ya kweli hayo?
Kama waliuza mechi dry kisiwa chama imekula kwao.Aaah mkuu ya kweli hayo?
tatizo chawaMB anafanya vizuri ,katika mastar wa bongo walionisikitisha mmoja wapo ni "Hashimu Sabiti" ,Jamaa alikuwa ashatoka kimaisha na angepata mshauri mzuri angefanya mambo makubwa sana nchini na kutengeneza ajira za kutosha,lakini mwili mkubwa akili kisoda akaishia kuwalamba kina Kidoti na kupiga mitama kina TID.
Nope kuna comedy na upumbavuTake it easy, modaf...er lol. He's a comedian, not Nelson Mandela. Let a brother get his bread.
Ambao ni maarufu dawa zinachukulikaje? MtihaniKama waliuza mechi dry kisiwa chama imekula kwao.
Ambao ni maarufu dawa zinachukulikaje? Mtihani
Ila kuna ambao wanasingiziwa nadhani.Wanawatumia chawa wao au wengine wanawatumia madaktari wao kuwaletea maana daktari wake lazima ajue maana si ndio yeye alimpima na kumpa majibu?
Haya ndio mambo bwana. Sio unakuwa na mihela unakaa unapaki magari ishirini nje ya nini yote hiyo?Yap alilamba mbususu ya kisarawe oyeeee!!
List ya mdau gani mkuu? ila wengi wameumia hawa mastar wetu.Ila kuna ambao wanasingiziwa nadhani.
Ile list ndefu ya Yule mdau karibia wote wapo.
Huyu jamaa ukitaka kumuona miaka ya nyuma tazama movie ya Friday.Huyu comedian mwenye asili ya Ghana anaeishi Marekani na kufanya kazi zake za sanaa Nchini Us pia ameshiriki filamu ya Coming to America 2, huwa ananifurahisha sana jinsi anavyopenda kwao Ghana anapenda kucheza miziki ya Afrika, vyakula vya nyumbani yeye ndio anakula hata akiwa marekan mara nyingi anakula ugali.
Pia anarudi sana kwao Ghana anajenga shule huko Ghana ili watoto wasome pia
Kila mara anaenda Kwao kwa mama yake, anapenda kuvaa nguo za vitenge
Anafaa kuigwa japo ana zile live zake za kutwerk na wadada wenye big ass Ila poa Tu.
Ingekuwa mwingine sipati picha ambavyo Angekuwa ananata
Na wengine muige muwe mnarudi nyumbani mfanye na vya maana sio kunywa bia tu
Michael yupo vizuri kiukweli anawapenda sana watu wake wa nyumbani kiujumla Afrika.
View attachment 1779465
Nope kuna comedy na upumbavu
Ndo comedy ilivo hata blaza K anaongea kama wa kigoma which sounds weird and funny to us ila ndo kwao vivo hivo na masanja nae anafanya mambo ya ajabu ya wasukuma n.kKatika comedian mpumbavu ni huyu jamaa.... angalia stand up comedy zake anafanya zilezile negative stereotypes kuhusu Africa.
MB anafanya vizuri ,katika mastar wa bongo walionisikitisha mmoja wapo ni "Hashimu Sabiti" ,Jamaa alikuwa ashatoka kimaisha na angepata mshauri mzuri angefanya mambo makubwa sana nchini na kutengeneza ajira za kutosha,lakini mwili mkubwa akili kisoda akaishia kuwalamba kina Kidoti na kupiga mitama kina TID.
Inasikitisha sana na huwa najiuliza huyu jamaa alifeli wapi, nikaja kugundua USWAHILI na Ubongolala ndio vilimponza.MB anafanya vizuri ,katika mastar wa bongo walionisikitisha mmoja wapo ni "Hashimu Sabiti" ,Jamaa alikuwa ashatoka kimaisha na angepata mshauri mzuri angefanya mambo makubwa sana nchini na kutengeneza ajira za kutosha,lakini mwili mkubwa akili kisoda akaishia kuwalamba kina Kidoti na kupiga mitama kina TID.
Huyu alikuwa na Uislam wenye uswahili na ushamba ndani yakeUshamba ile nafasi hakutegemea kuipata
Unatoka USA unakja bongo unahangaika
Na wanawake huku
Mara kaenda coco kapaki range kazungukwa na watu Hahaha
Ova