Mianaume ndo tulivyo......hovyoooo!

Mianaume ndo tulivyo......hovyoooo!

Wala hamjavamiwa kipenzi ndio jinsi mlivyo haswaaaa wala hajakosea tena kuna mengi tu yameachwa mimi nikiongezea yana nikumbusha machungu tu.
Na nyie wanaume mnaojisifia kuwa mnapenda sana familia zenu ndio wakuogopwa mno,mnapenda kujitutumua mbele za watu wakati ni uongo mtupu!!!!
kiukweli kina mama huwa tunawaingiza kwenye mauchungu mengi,nyie tusameheni tu bure.
 
kudadadeki....print umpelekee huko huko aliko,mwambie kuna baba mmoja anaitwa Bishanga Abashaija kanipa nikuletee,and then check his reaction akishasoma.

Bishanga waguma waitu,ntafanya ivo kwa kweli lazima aupate huu ujumbe
 
Wise say mkuu na huu ni ukweli maana najua na naamini hakuna hata mmoja ambaye ni perfect
Ila hii thread isaidie kutubadilisha na kuyaangalia ni yapi tunafanya ambayo kwa wake zetu na familia zetu yanawakwaza
na ni wapi tumerudi nyuma katika kuheshimu na kuziona ndoa zetu za maana na kuwaona kama wake zetu ni watumwa wetu au watu wasio na hisia
Au ule ukuu wa familia tumeutumia isivyo kwa kuwa zaidi dictator zaidi ya baba
hayo ndo maneno Mr Rocky,big up!
 
Mkuu Bishanga hii ndo namna mpya ya utongozaji hapa jamvini ama kuna kitu sielewi!?
hahahahahahaaa acha hizo bana we kubali tu kuwa haya ndo madudu yetu basi yaishe.
 
Mkuu Bishanga hii ndo namna mpya ya utongozaji hapa jamvini ama kuna kitu sielewi!?

Hahaaaaa ameamua kutoa yanayowasibu dada zake jamani.......inamuuma kama mwanaume mwenzenu. Si mbadilike tu,mnashindwa nn??
 
salute, salute , salute.......................DAH unastahili maji ya kilimanjaro makubwa kwa bill yangu.
 
Bishanga
Naona leo umemaliza kila kitu; yaani hata kama wewe unafanya japo mawili kati ya hayo at least u r aware of the consequences zake so l think u r a bit considerate!
Pole na mawe ya midume myenzio!
 
salute, salute , salute.......................DAH unastahili maji ya kilimanjaro makubwa kwa bill yangu.
karibu keko magurumbasi,kuna bar inaitwa 'mtakuja',utanikuta kaunta,hahahahaa!!!!
 
Bishanga
Naona leo umemaliza kila kitu; yaani hata kama wewe unafanya japo mawili kati ya hayo at least u r aware of the consequences zake so l think u r a bit considerate!
Pole na mawe ya midume myenzio!
achana nao hao hawantishi,waende wakajiangalie kwenye kioo kisha warudi kwenye hii mada ndo warushe post.
 
Back
Top Bottom