rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,515
- 41,989
Wamechinja mbuzi sijaonja hata kipande walahi...
Wamechinja mbuzi sijaonja hata kipande walahi...
Tumewafuturisha mwezi mzima bado wanadai mkono wa idd. Yani noma sana, sijui wao hizo baraka huzipataje, walituambia tukiwafuturisha tunapata baraka, tukafanya hivyo mwezi mzima. Basi na wao watualike leo na kesho angalau.Hatari sana, yaani sijui wako vipi. Vya wenzao midomo juu, vyao duh!!
Tulipokuwa tunawafuturisha hatukujali idadi yao, inapokuja kwao hili swali la wangapi linakujaje au kivipi sasa?!Wangewaalika wangapi?
Dah!Tulipokuwa tunawafuturisha hatukujali idadi yao, inapokuja kwao hili swali la wangapi linakujaje au kivipi sasa?!
Me niliwapa chakula kipindi cha pasaka..Sasa ulitaka niwe nawafulia nguo au??? Nimegundua ni waswahili tu...futari yenyewe hata kusemaga karibu hamnaa...
we dogo utakuwa umekulia tandika bila shaka
Tumewafuturisha mwezi mzima bado wanadai mkono wa idd. Yani noma sana, sijui wao hizo baraka huzipataje, walituambia tukiwafuturisha tunapata baraka, tukafanya hivyo mwezi mzima. Basi na wao watualike leo na kesho angalau.
Ulipaswa uwe unawafulia nguoWamechinja mbuzi sijaonja hata kipande walahi...
Waislamu ungea lolote watakuelewa. Ila kukualika kwenye ubwabwa sahau. Hata awe msomi kama Kapuya au Lipumba. Kwenye ubwabwa wanabadilikaNyumna ina waislamu wanne nimeishia kula kwa Harufu mamaee...!! Akati me pasaka nilipendekeza...sitarudia kabisa wapuuzi hawaa
Kabisa mkuuWaislamu ungea lolote watakuelewa. Ila kukualika kwenye ubwabwa sahau. Hata awe msomi kama Kapuya au Lipumba. Kwenye ubwabwa wanabadilika
Yani wapuuzi tu mkuu...yani miwatu ya ovyoo sana!!Ulipaswa uwe unawafulia nguo