comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,222
- 5,946
Ndugu zetu waislam hongereni kwa kumaliza funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhan.
Mwaka huu nakumbuka hakukuwa na fujo ya kupanda kwa bei ya bidhaa za futari hasa sukari.
Lakini nimesikia kwa mbali mmetoa mialiko michache sana kwa wasio nyinyi kuja kuungana nanyi katika idd na mambo yanayoendana nayo hasa kwenye ulaji- siyo mbayo siku nyingine
Mwaka huu nakumbuka hakukuwa na fujo ya kupanda kwa bei ya bidhaa za futari hasa sukari.
Lakini nimesikia kwa mbali mmetoa mialiko michache sana kwa wasio nyinyi kuja kuungana nanyi katika idd na mambo yanayoendana nayo hasa kwenye ulaji- siyo mbayo siku nyingine