BAVICHA kusherehekea sikukuu ya Eid El Fitri Gereza la Ukonga pamoja na Mashehe wa Uamsho

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,789
218,433
Wakuu , kwanza napenda kuwapongeza Watukufu Waislam kwa kumaliza kwa mafanikio makubwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan , Mwenyezi Mungu awajaalie kila lililo jema .

Hata hivyo ifahamike kwamba wakati sisi wengine tukisherehekea Idd majumbani mwetu pamoja na familia zetu , kule Ukonga wako Mashehe wamewekwa rumande kwa miaka 9 kwa sababu za kisiasa , sasa kama mnavyojua Vijana wa Bavicha wanafanya ziara ya kutembelea wafungwa wa kisiasa nchi nzima kwa lengo la kuwajulia hali na kuwapa moyo , na Idd hii ni zamu ya kuwaona Mashehe wa Uamsho Gereza la Ukonga .

IMG_20210513_193540.jpg


Wapenda Haki Wote Mnakaribishwa

UPDATES
=========
Viongozi wa Bavicha wamezuiwa kuingia gereza la Ukonga , ambapo taarifa ya Askari wa zamu inaeleza kwamba KUNA MAAGIZO KUTOKA JUU KUIZUIA BAVICHA KUWAONA UAMSHO .

Hata hivyo ile nia ya dhati ya Bavicha kuwajali wafungwa wa kisiasa na kufika gerezani Ukonga bila shaka imeonwa na Mwenyezi Mungu , na kwa hakika atawalipa kwa wema huo mlioutenda .
 
Wakuu , kwanza napenda kuwapongeza Watukufu Waislam kwa kumaliza kwa mafanikio makubwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan , Mwenyezi Mungu awajaalie kila lililo jema .

Hata hivyo ifahamike kwamba wakati sisi wengine tukisherehekea Idd majumbani mwetu pamoja na familia zetu , kule Ukonga wako Mashehe wamewekwa rumande kwa miaka 9 kwa sababu za kisiasa , sasa kama mnavyojua Vijana wa Bavicha wanafanya ziara ya kutembelea wafungwa wa kisiasa nchi nzima kwa lengo la kuwajulia hali na kuwapa moyo , na Idd hii ni zamu ya kuwaona Mashehe wa Uamsho Gereza la Ukonga .

View attachment 1783662

Wapenda Haki Wote Mnakaribishwa
Ni bora wanaweza hata kujipatia thawabu iliyo njema.
 
Wakuu , kwanza napenda kuwapongeza Watukufu Waislam kwa kumaliza kwa mafanikio makubwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan , Mwenyezi Mungu awajaalie kila lililo jema .

Hata hivyo ifahamike kwamba wakati sisi wengine tukisherehekea Idd majumbani mwetu pamoja na familia zetu , kule Ukonga wako Mashehe wamewekwa rumande kwa miaka 9 kwa sababu za kisiasa , sasa kama mnavyojua Vijana wa Bavicha wanafanya ziara ya kutembelea wafungwa wa kisiasa nchi nzima kwa lengo la kuwajulia hali na kuwapa moyo , na Idd hii ni zamu ya kuwaona Mashehe wa Uamsho Gereza la Ukonga .

View attachment 1783662

Wapenda Haki Wote Mnakaribishwa
"Watukufu" Waislamu ndiyo mdudu gani?
 
Sidhani kama wale mashehe wamewekwa rumande kwa miaka 9 “kwa sababu za kisiasa”.

Kuna kitu kipo nyuma ya pazia sisi common wananchi hatukijui na labda hatutakijua kamwe. Zile zama za mapadre kuuawa na makanisa kuchomwa zilishamiri sana enzi zile wakati wa vuguvugu la watu hawa. Labda hii ndio “sababu ya kisiasa”

Huu mfupa wa hawa mashehe uliwashinda marais wote wa bara na visiwani. Ngoja tuone mama Samia atafanyaje.
 
Sidhani kama wale mashehe wamewekwa rumande kwa miaka 9 “kwa sababu za kisiasa”.

Kuna kitu kipo nyuma ya pazia sisi common wananchi hatukijui na labda hatutakijua kamwe. Zile zama za mapadre kuuawa na makanisa kuchomwa zilishamiri sana enzi zile wakati wa vuguvugu la watu hawa. Labda hii ndio “sababu ya kisiasa”

Huu mfupa wa hawa mashehe uliwashinda marais wote wa bara na visiwani. Ngoja tuone mama Samia atafanyaje.
labda usiyejua ni wewe tu
 
kuwaweka watu rumande miaka 9 maana yake nini?.
Mimi siwatetei ILA kama Wana MAKOSA wafungwe
Sidhani kama wale mashehe wamewekwa rumande kwa miaka 9 “kwa sababu za kisiasa”.

Kuna kitu kipo nyuma ya pazia sisi common wananchi hatukijui na labda hatutakijua kamwe. Zile zama za mapadre kuuawa na makanisa kuchomwa zilishamiri sana enzi zile wakati wa vuguvugu la watu hawa. Labda hii ndio “sababu ya kisiasa”

Huu mfupa wa hawa mashehe uliwashinda marais wote wa bara na visiwani. Ngoja tuone mama Samia atafanyaje.
 
Sasa kwanini unaspin kwamba wapo ndani kwa sababu za kisiasa?
Hivyo ndivyo ilivyo , kilichowaponza uamsho ni Serikali 3 iliyopendekezwa na katiba ya Warioba , Huyu Shehe Farid ameshiriki mara kadhaa kwenye midahalo ya Tume ya Warioba , hajawahi kuwa gaidi na wala hakuna atakayetoa ushahidi wa ugaidi hapa , Si JK au Shein waliowaweka ndani atakayethibitisha Ugaidi wao
 
Back
Top Bottom