Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,433
Wakuu , kwanza napenda kuwapongeza Watukufu Waislam kwa kumaliza kwa mafanikio makubwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan , Mwenyezi Mungu awajaalie kila lililo jema .
Hata hivyo ifahamike kwamba wakati sisi wengine tukisherehekea Idd majumbani mwetu pamoja na familia zetu , kule Ukonga wako Mashehe wamewekwa rumande kwa miaka 9 kwa sababu za kisiasa , sasa kama mnavyojua Vijana wa Bavicha wanafanya ziara ya kutembelea wafungwa wa kisiasa nchi nzima kwa lengo la kuwajulia hali na kuwapa moyo , na Idd hii ni zamu ya kuwaona Mashehe wa Uamsho Gereza la Ukonga .
Wapenda Haki Wote Mnakaribishwa
UPDATES
=========
Viongozi wa Bavicha wamezuiwa kuingia gereza la Ukonga , ambapo taarifa ya Askari wa zamu inaeleza kwamba KUNA MAAGIZO KUTOKA JUU KUIZUIA BAVICHA KUWAONA UAMSHO .
Hata hivyo ile nia ya dhati ya Bavicha kuwajali wafungwa wa kisiasa na kufika gerezani Ukonga bila shaka imeonwa na Mwenyezi Mungu , na kwa hakika atawalipa kwa wema huo mlioutenda .
Hata hivyo ifahamike kwamba wakati sisi wengine tukisherehekea Idd majumbani mwetu pamoja na familia zetu , kule Ukonga wako Mashehe wamewekwa rumande kwa miaka 9 kwa sababu za kisiasa , sasa kama mnavyojua Vijana wa Bavicha wanafanya ziara ya kutembelea wafungwa wa kisiasa nchi nzima kwa lengo la kuwajulia hali na kuwapa moyo , na Idd hii ni zamu ya kuwaona Mashehe wa Uamsho Gereza la Ukonga .
Wapenda Haki Wote Mnakaribishwa
UPDATES
=========
Viongozi wa Bavicha wamezuiwa kuingia gereza la Ukonga , ambapo taarifa ya Askari wa zamu inaeleza kwamba KUNA MAAGIZO KUTOKA JUU KUIZUIA BAVICHA KUWAONA UAMSHO .
Hata hivyo ile nia ya dhati ya Bavicha kuwajali wafungwa wa kisiasa na kufika gerezani Ukonga bila shaka imeonwa na Mwenyezi Mungu , na kwa hakika atawalipa kwa wema huo mlioutenda .