Ma Mshuza
Senior Member
- Feb 26, 2019
- 192
- 1,021
Kuna wanaume jamani hawalizoei bumunda kabisa. Mume wangu zaidi ya miaka 10 bado nikianza kuvua nguo kuvaa.au akiniona napaka mafuta nimeinama anachanganyikiwa kabisa.
Inafikia hatua inabidi nivalie huko huko bafuni au awe sebuleni asub anapata breakfast mimi ndo nivae haraka haraka.bila hivyo anataka kulianzisha.
Huu naona ni ushamba wa mbunye.imagine kweli zaidi ya miaka 10 bado hajaizoea kabisa.kawaida wanaume wakishakaa sana kwenye ndoa huzoea mbunye za wake zao na huanza kutaka za nje.
Huyu ni shida.je tatizo ni ushamba au ameathirika kisaikolojia? Kweli jamani mi nishindwe kuwa huru nyumbani kwangu mwenyewe kwa wasiwasi wa yeye kutaka nibaka?maana kuna kipindi anataka tu hata kama sipo ready.
Inafikia hatua inabidi nivalie huko huko bafuni au awe sebuleni asub anapata breakfast mimi ndo nivae haraka haraka.bila hivyo anataka kulianzisha.
Huu naona ni ushamba wa mbunye.imagine kweli zaidi ya miaka 10 bado hajaizoea kabisa.kawaida wanaume wakishakaa sana kwenye ndoa huzoea mbunye za wake zao na huanza kutaka za nje.
Huyu ni shida.je tatizo ni ushamba au ameathirika kisaikolojia? Kweli jamani mi nishindwe kuwa huru nyumbani kwangu mwenyewe kwa wasiwasi wa yeye kutaka nibaka?maana kuna kipindi anataka tu hata kama sipo ready.