Miaka yangu 10 ndani ya JF

JF itakupatia kile unachotaka, hili ni neno la siku. Na ni la ukweli 100%

Happy new year valentina.
Sure dada yangu jf inakupa kila unachotaka, ukitaka maumivu utapata kweli ila ukitaka amani utaipata haswa tena zaidi ya amani, binafsi nina zaidi ya miaka kumi jf sijawahi kujutia , sijawahi kugombana na mtu wala sina adui wala sina rafiki ila nina amani na jf kiasi haipiti siku sijawa hapa kwa vyovyote vile.
 
Sure dada yangu jf inakupa kila unachotaka, ukitaka maumivu utapata kweli ila ukitaka amani utaipata haswa tena zaidi ya amani, binafsi nina zaidi ya miaka kumi jf sijawahi kujutia , sijawahi kugombana na mtu wala sina adui wala sina rafiki ila nina amani na jf kiasi haipiti siku sijawa hapa kwa vyovyote vile.
Sahihi kabisa, bila rafiki bila adui zaidi watu wote kuwaona ni member wenzako inatosha.

Heri ya mwaka mpya kaka.
 
😂😂😂mie nimehawi date na kudo na SnowBall ,aje akanushe nilete ushahidi😂😂 hata @Lara1 shost angu ni shahidi😂 nilikuwa Moto🔥hatari faya jf,hadi nilipata tuzo ya miss jf😂😂lol kumbe kuna kuzeeka
Sema boss nisamehe ni utoto ulikuwa unanisumbua tu😂😂
Aloooh jamaa alikuwa mtamu hatareeh, michepuko msije niparura,ilikuwa enzi hizo,Nina miaka 10 sijaonana naye 🙏
 
Hello mabibi na mabwana, natumai mko vyedi kabisa.

Ikiwa imebaki masaa machache tupindue mwaka napenda kushuru kama ifuatavyo kwa jinsi platform hii ilivokua msaada mkubwa sana kwangu.

Kipekee kabisa nianze kumshukuru mwenyezi Mungu kwa wingi na fadhila zake kwangu/kwetu.

Ashukuriwe zaidi kwa wazo/ubunifu aliouweka ndani ya mwanzilishi wa platform hii Maxence Melo kwani ni mtandao umekua msaada mkubwa sana kwetu katika kuelimika, kuburudika, kupata connection mbalimbali na kubwa zaidi marafiki wema ambao wengine huenda mbali zaidi na kua familia

Nikizungumzia marafiki wema kwa upande wangu nimefaidika nao mno mno mno wana mchango mkubwa sana katika kubadilisha maisha yangu from nothing to something

Katika nyakati hizi mabaya yanaongezeka lakini marafiki wema bado wapo. Wakati najiunga jf sikua mtu mwenye mtazamo chanya kama nilivo sasa kifupi I was nothing na ukizingatia ni std7 ndo kabisaaa sikua naona mambo vile nionavo kwasasa.

Ni mara nyingi tumeona mada negative humu kua JF ni kichaka, JF sio pakuaminika, JF this, JF that n.k, lakini sio ukweli uliokamilika jamani

JF itakupatia kile unachokitaka, ukitaka mazuri itakupa mazuri inategemea tu na vile wewe unatakaje.

Wakati nimejiunga jf nilipokelewa na watu wastarabu na makini, Arusha wing, baadhi yao ni kina Preta marejesho Filipo Arusha One.... Team hii bado nawapenda sana na asanteni kwa wema wenu kwangu

JF imenipa marafiki wengi na wenye impact positive kwangu baadhi yao ni Nyani Ngabu Kambaku Kisambo Luv Nkanini.

List ni ndefu wengine spelling za I'd zenu zinanichenga mnisamehe bure ila jueni tu mmeweka alama nzuri sana maishani mwangu, na ninawaombea mema siku zote na Mungu awabariki mno.

Funzo nililolipata; usimdharau mtu wa mtandaoni hata siku moja. Yaani kwakuwa tunatumia id fake haitupi certificate kuwa tuwe huru ku treat mtu in negatively way. Huwezi jua mtu huyo ni daraja la wewe kuendea hatma yako.

Happy new year in advance.

2024 ukawe mwaka wa mafanikio, tukaongezeke kiuchumi, upendo na mshikamano.
Maxence unayemsema ni shemeji yangu live😂😂waikola waituu
Iweee
Abagandiii 😂🔥🙏
 
😂😂😂mie nimehawi date na kudo na SnowBall ,aje akanushe nilete ushahidi😂😂 hata @Lara1 shost angu ni shahidi😂 nilikuwa Moto🔥hatari faya jf,hadi nilipata tuzo ya miss jf😂😂lol kumbe kuna kuzeeka
Sema boss nisamehe ni utoto ulikuwa unanisumbua tu😂😂
Aloooh jamaa alikuwa mtamu hatareeh, michepuko msije niparura,ilikuwa enzi hizo,Nina miaka 10 sijaonana naye 🙏

Huu mwandiko 🤔🤔🤔😷😷😷
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom