Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 8,928
- 23,272
Sure dada yangu jf inakupa kila unachotaka, ukitaka maumivu utapata kweli ila ukitaka amani utaipata haswa tena zaidi ya amani, binafsi nina zaidi ya miaka kumi jf sijawahi kujutia , sijawahi kugombana na mtu wala sina adui wala sina rafiki ila nina amani na jf kiasi haipiti siku sijawa hapa kwa vyovyote vile.JF itakupatia kile unachotaka, hili ni neno la siku. Na ni la ukweli 100%
Happy new year valentina.