Miaka yangu 10 ndani ya JF

Miaka yangu 10 ndani ya JF

🤣🤣 utani tu mkuu
lakini akinipa siachiiii na sivungiiii mm ni kijana wa hovyoo
Umeuaaa....
Anyway unajua penzi letu lilikuwa dormant sana hapa mjengoni. Japo tulishapendana sana.

Na sijawahi kudate na yeyote zaidi yake.

Anyway kuna mtu hapa Hisia zangu zinataka kumdondokea.

huyu Vale wangu, aje aseme kama tumetengana au lah!
 
Umeuaaa....
Anyway unajua penzi letu lilikuwa dormant sana hapa mjengoni. Japo tulishapendana sana.

Na sijawahi kudate na yeyote zaidi yake.

Anyway kuna mtu hapa Hisia zangu zinataka kumdondokea.

huyu Vale wangu, aje aseme kama tumetengana au lah!
🤣🤣nawaombea mtengane nichukue jiko maan toka niko jf sijawahi kuambiwa i love you na yyte huyu ndo atakua wa kwanza ushaachwa wewe
 
🤣🤣nawaombea mtengane nichukue jiko maan toka niko jf sijawahi kuambiwa i love you na yyte huyu ndo atakua wa kwanza ushaachwa wewe
Ndio hivyo, tushazeeka aje aseme mwenyewe kama anapenda dogodogo...
😂 Mimi naenda zangu, na penzi nitakaloanzisha lazima aone wivu.
 
Hello mabibi na mabwana, natumai mko vyedi kabisa.

Ikiwa imebaki masaa machache tupindue mwaka napenda kushuru kama ifuatavyo kwa jinsi platform hii ilivokua msaada mkubwa sana kwangu.

Kipekee kabisa nianze kumshukuru mwenyezi Mungu kwa wingi na fadhila zake kwangu/kwetu.

Ashukuriwe zaidi kwa wazo/ubunifu aliouweka ndani ya mwanzilishi wa platform hii Maxence Melo kwani ni mtandao umekua msaada mkubwa sana kwetu katika kuelimika, kuburudika, kupata connection mbalimbali na kubwa zaidi marafiki wema.

Nikizungumzia marafiki wema kwa upande wangu nimefaidika nao mno mno mno wana mchango mkubwa sana katika kubadilisha maisha yangu from nothing to something.

Katika nyakati hizi mabaya yanaongezeka lakini marafiki wema bado wapo. Wakati najiunga jf sikua mtu mwenye mtazamo chanya kama nilivo sasa kifupi I was nothing na ukizingatia ni std7 ndo kabisaaa sikua naona mambo vile nionavo kwasasa.

Ni mara nyingi tumeona mada negative humu kua JF ni kichaka, JF sio pakuaminika, JF this, JF that n.k, la sio kweli jamani.

JF itakupatia kile unachokitaka, ukitaka mazuri itakupa mazuri inategemea tu na vile wewe unatakaje.

Wakati nimejiunga jf nilipokelewa na watu wastarabu na makini, Arusha wing, baadi yao ni kina Preta marejesho Filipo Arusha One.... Team hii bado nawapenda sana na asanteni kwa wema wenu kwangu.

JF imenipa marafiki wengi na wenye impact positive kwangu baadhi yao ni Nyani Ngabu Kambaku Kisambo Luv Nkanini.

List ni ndefu wengine spelling za I'd zenu zinanichenga mnisamehe bure ila jueni tu mmeweka alama nzuri sana maishani mwangu, na ninawaombea mema siku zote na Mungu awabariki mno.

Funzo nililolipata; usimdharau mtu wa mtandaoni hata siku moja. Yaani kwakuwa tunatumia id fake haitupi nguvu kuwa tuwe huru ku treat mtu in negative way. Huwezi jua mtu huyo ni daraja la wewe kuendea hatma yako.

Happy new year in advance.

2024 ukawe mwaka wa mafanikio, tukaongezeke kiuchumi, upendo na mshikamano.
Hongera ya miaka 10 ya kuwa JF.

Nakutakia mwaka mpya 2024 wa furaha na mafanikio mengi.
 
Hello mabibi na mabwana, natumai mko vyedi kabisa.

Ikiwa imebaki masaa machache tupindue mwaka napenda kushuru kama ifuatavyo kwa jinsi platform hii ilivokua msaada mkubwa sana kwangu.

Kipekee kabisa nianze kumshukuru mwenyezi Mungu kwa wingi na fadhila zake kwangu/kwetu.

Ashukuriwe zaidi kwa wazo/ubunifu aliouweka ndani ya mwanzilishi wa platform hii Maxence Melo kwani ni mtandao umekua msaada mkubwa sana kwetu katika kuelimika, kuburudika, kupata connection mbalimbali na kubwa zaidi marafiki wema.

Nikizungumzia marafiki wema kwa upande wangu nimefaidika nao mno mno mno wana mchango mkubwa sana katika kubadilisha maisha yangu from nothing to something.

Katika nyakati hizi mabaya yanaongezeka lakini marafiki wema bado wapo. Wakati najiunga jf sikua mtu mwenye mtazamo chanya kama nilivo sasa kifupi I was nothing na ukizingatia ni std7 ndo kabisaaa sikua naona mambo vile nionavo kwasasa.

Ni mara nyingi tumeona mada negative humu kua JF ni kichaka, JF sio pakuaminika, JF this, JF that n.k, la sio kweli jamani.

JF itakupatia kile unachokitaka, ukitaka mazuri itakupa mazuri inategemea tu na vile wewe unatakaje.

Wakati nimejiunga jf nilipokelewa na watu wastarabu na makini, Arusha wing, baadi yao ni kina Preta marejesho Filipo Arusha One.... Team hii bado nawapenda sana na asanteni kwa wema wenu kwangu.

JF imenipa marafiki wengi na wenye impact positive kwangu baadhi yao ni Nyani Ngabu Kambaku Kisambo Luv Nkanini.

List ni ndefu wengine spelling za I'd zenu zinanichenga mnisamehe bure ila jueni tu mmeweka alama nzuri sana maishani mwangu, na ninawaombea mema siku zote na Mungu awabariki mno.

Funzo nililolipata; usimdharau mtu wa mtandaoni hata siku moja. Yaani kwakuwa tunatumia id fake haitupi nguvu kuwa tuwe huru ku treat mtu in negative way. Huwezi jua mtu huyo ni daraja la wewe kuendea hatma yako.

Happy new year in advance.

2024 ukawe mwaka wa mafanikio, tukaongezeke kiuchumi, upendo na mshikamano.
Hongera sana mkuu
 
Nashangaa sijatajwa......

au ndo wale spelling zimekupa shida?
 
Hello mabibi na mabwana, natumai mko vyedi kabisa.

Ikiwa imebaki masaa machache tupindue mwaka napenda kushuru kama ifuatavyo kwa jinsi platform hii ilivokua msaada mkubwa sana kwangu.

Kipekee kabisa nianze kumshukuru mwenyezi Mungu kwa wingi na fadhila zake kwangu/kwetu.

Ashukuriwe zaidi kwa wazo/ubunifu aliouweka ndani ya mwanzilishi wa platform hii Maxence Melo kwani ni mtandao umekua msaada mkubwa sana kwetu katika kuelimika, kuburudika, kupata connection mbalimbali na kubwa zaidi marafiki wema.

Nikizungumzia marafiki wema kwa upande wangu nimefaidika nao mno mno mno wana mchango mkubwa sana katika kubadilisha maisha yangu from nothing to something.

Katika nyakati hizi mabaya yanaongezeka lakini marafiki wema bado wapo. Wakati najiunga jf sikua mtu mwenye mtazamo chanya kama nilivo sasa kifupi I was nothing na ukizingatia ni std7 ndo kabisaaa sikua naona mambo vile nionavo kwasasa.

Ni mara nyingi tumeona mada negative humu kua JF ni kichaka, JF sio pakuaminika, JF this, JF that n.k, la sio kweli jamani.

JF itakupatia kile unachokitaka, ukitaka mazuri itakupa mazuri inategemea tu na vile wewe unatakaje.

Wakati nimejiunga jf nilipokelewa na watu wastarabu na makini, Arusha wing, baadi yao ni kina Preta marejesho Filipo Arusha One.... Team hii bado nawapenda sana na asanteni kwa wema wenu kwangu.

JF imenipa marafiki wengi na wenye impact positive kwangu baadhi yao ni Nyani Ngabu Kambaku Kisambo Luv Nkanini.

List ni ndefu wengine spelling za I'd zenu zinanichenga mnisamehe bure ila jueni tu mmeweka alama nzuri sana maishani mwangu, na ninawaombea mema siku zote na Mungu awabariki mno.

Funzo nililolipata; usimdharau mtu wa mtandaoni hata siku moja. Yaani kwakuwa tunatumia id fake haitupi nguvu kuwa tuwe huru ku treat mtu in negative way. Huwezi jua mtu huyo ni daraja la wewe kuendea hatma yako.

Happy new year in advance.

2024 ukawe mwaka wa mafanikio, tukaongezeke kiuchumi, upendo na mshikamano.
Mbona kama tumemaliza pamoja
 
Back
Top Bottom