Miaka yangu 10 ndani ya JF

Miaka yangu 10 ndani ya JF

Hello mabibi na mabwana, natumai mko vyedi kabisa.

Ikiwa imebaki masaa machache tupindue mwaka napenda kushuru kama ifuatavyo kwa jinsi platform hii ilivokua msaada mkubwa sana kwangu.

Kipekee kabisa nianze kumshukuru mwenyezi Mungu kwa wingi na fadhila zake kwangu/kwetu.

Ashukuriwe zaidi kwa wazo/ubunifu aliouweka ndani ya mwanzilishi wa platform hii Maxence Melo kwani ni mtandao umekua msaada mkubwa sana kwetu katika kuelimika, kuburudika, kupata connection mbalimbali na kubwa zaidi marafiki wema ambao wengine huenda mbali zaidi na kua familia

Nikizungumzia marafiki wema kwa upande wangu nimefaidika nao mno mno mno wana mchango mkubwa sana katika kubadilisha maisha yangu from nothing to something

Katika nyakati hizi mabaya yanaongezeka lakini marafiki wema bado wapo. Wakati najiunga jf sikua mtu mwenye mtazamo chanya kama nilivo sasa kifupi I was nothing na ukizingatia ni std7 ndo kabisaaa sikua naona mambo vile nionavo kwasasa.

Ni mara nyingi tumeona mada negative humu kua JF ni kichaka, JF sio pakuaminika, JF this, JF that n.k, lakini sio ukweli uliokamilika jamani

JF itakupatia kile unachokitaka, ukitaka mazuri itakupa mazuri inategemea tu na vile wewe unatakaje.

Wakati nimejiunga jf nilipokelewa na watu wastarabu na makini, Arusha wing, baadhi yao ni kina Preta marejesho Filipo Arusha One.... Team hii bado nawapenda sana na asanteni kwa wema wenu kwangu

JF imenipa marafiki wengi na wenye impact positive kwangu baadhi yao ni Nyani Ngabu Kambaku Kisambo Luv Nkanini.

List ni ndefu wengine spelling za I'd zenu zinanichenga mnisamehe bure ila jueni tu mmeweka alama nzuri sana maishani mwangu, na ninawaombea mema siku zote na Mungu awabariki mno.

Funzo nililolipata; usimdharau mtu wa mtandaoni hata siku moja. Yaani kwakuwa tunatumia id fake haitupi certificate kuwa tuwe huru ku treat mtu in negatively way. Huwezi jua mtu huyo ni daraja la wewe kuendea hatma yako.

Happy new year in advance.

2024 ukawe mwaka wa mafanikio, tukaongezeke kiuchumi, upendo na mshikamano.
WE ndo yule vai mfupi
 
Hello mabibi na mabwana, natumai mko vyedi kabisa.

Ikiwa imebaki masaa machache tupindue mwaka napenda kushuru kama ifuatavyo kwa jinsi platform hii ilivokua msaada mkubwa sana kwangu.

Kipekee kabisa nianze kumshukuru mwenyezi Mungu kwa wingi na fadhila zake kwangu/kwetu.

Ashukuriwe zaidi kwa wazo/ubunifu aliouweka ndani ya mwanzilishi wa platform hii Maxence Melo kwani ni mtandao umekua msaada mkubwa sana kwetu katika kuelimika, kuburudika, kupata connection mbalimbali na kubwa zaidi marafiki wema ambao wengine huenda mbali zaidi na kua familia

Nikizungumzia marafiki wema kwa upande wangu nimefaidika nao mno mno mno wana mchango mkubwa sana katika kubadilisha maisha yangu from nothing to something

Katika nyakati hizi mabaya yanaongezeka lakini marafiki wema bado wapo. Wakati najiunga jf sikua mtu mwenye mtazamo chanya kama nilivo sasa kifupi I was nothing na ukizingatia ni std7 ndo kabisaaa sikua naona mambo vile nionavo kwasasa.

Ni mara nyingi tumeona mada negative humu kua JF ni kichaka, JF sio pakuaminika, JF this, JF that n.k, lakini sio ukweli uliokamilika jamani

JF itakupatia kile unachokitaka, ukitaka mazuri itakupa mazuri inategemea tu na vile wewe unatakaje.

Wakati nimejiunga jf nilipokelewa na watu wastarabu na makini, Arusha wing, baadhi yao ni kina Preta marejesho Filipo Arusha One.... Team hii bado nawapenda sana na asanteni kwa wema wenu kwangu

JF imenipa marafiki wengi na wenye impact positive kwangu baadhi yao ni Nyani Ngabu Kambaku Kisambo Luv Nkanini.

List ni ndefu wengine spelling za I'd zenu zinanichenga mnisamehe bure ila jueni tu mmeweka alama nzuri sana maishani mwangu, na ninawaombea mema siku zote na Mungu awabariki mno.

Funzo nililolipata; usimdharau mtu wa mtandaoni hata siku moja. Yaani kwakuwa tunatumia id fake haitupi certificate kuwa tuwe huru ku treat mtu in negatively way. Huwezi jua mtu huyo ni daraja la wewe kuendea hatma yako.

Happy new year in advance.

2024 ukawe mwaka wa mafanikio, tukaongezeke kiuchumi, upendo na mshikamano.
Ahsante kwa muongozo
 
bichwa lako

Hahah hadi sasa nishaona wataka tu dakitare akutie kitu hata kama u mzima...

Basi tufanye atakutia sindano isiyouma kuondoa muwasho wa allergy...
Bwanaaaa mi muoga wa sindano
 
Yesu Maria na Yoseph

Huu mtego wako siuingii hata kidogo

Tuachane na hii habari ya kutiana vidole machoni...

Halafu tajiri Valeee, nataka mashuka nakupataje? Halafu nitatest vipi kama ni mazuri ikiwa hutaki tuyatumie wakati wa kutiana vidole machoni kumtoa mdudu?😁
 
Tuachane na hii habari ya kutiana vidole machoni...

Halafu tajiri Valeee, nataka mashuka nakupataje? Halafu nitatest vipi kama ni mazuri ikiwa hutaki tuyatumie wakati wa kutiana vidole machoni kumtoa mdudu?


Nimeghairi siuzi mashuka
 
Hongera sana kwa miaka 10
Umejifunza na kufanya mengi....!
Jitahidi uwape maarifa wanaojiunga...

Mimi mwezi wa tano nitakua nimetimiza 15...si haba...!

Long live JF...
 
Back
Top Bottom