Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,467
- 23,754
Miaka hiyo kutumia saa moja internet ilikuwa tsh 500 hadi 1000. Kumfungulia mtu email ilikuwa tsh 1,000. Ni miaka ambayo nlitengeneza sana pesa. Maana nlikuwa na ofisi mbili za internet.
Moja sinza na nyingine Kijitonyama. Mi nazunguka tu na Baloon kutembelea ofisi. Watu wanachat kupitia Yahoo Messenger au Hotmail. Miaka hiyo kuna Darhotwire. Huko nako tulikuwa tunakutana na wadau mbalimbali na kuunga udugu au kuanzisha mahusiano.
Maisha tumekula sisi miaka hiyo bwana... Watoto walikuwa wabichi kweli kweli milage unakuta bado ipo vizuri haijaenda sana kama hawa wa sasa. Milage imeenda na kuchoka halafu hawana akili.
Miaka hiyo usingesikia mtu analalamikiwa kibamia au nguvu za kiume. Maana kulikuwa na utoshelevu mzuri. Siyo sasa kumejaa minungayembe mtaani.
Anyway...mimi nlikuwa mjanja miaka hiyo siyo kama siku hizi bwege flani tu mademu wananilia pesa zangu na halafu wanalala mitini. Nlikuwa nipo fresh sana Unyakyusa mwingi sana na Unyamwezi. Mastaa kibao wa miaka hiyo nlifanikiwa kuwa check.
Watangazaji,waimbaji na waigizaji....ukiwacheck sasa wamechoooka. Nami nimechoka kidogo akili sababu ya mibangi. Tumetoka mbali sana. Maisha haya zichange muda huu kama unaweza fainali uzeeni.
Sasa nakula nchi tu huku nakuja tibuana mara moja moja na watu humu JF. Maana mimi ni kama Kubwa Jinga, Kubwa Bwege. Acha maisha yaende. Pesa zipo matumizi tu ndo shida. Sometime unaona ukikosa kitu cha kununua basi ununue hata Ugomvi...
Moja sinza na nyingine Kijitonyama. Mi nazunguka tu na Baloon kutembelea ofisi. Watu wanachat kupitia Yahoo Messenger au Hotmail. Miaka hiyo kuna Darhotwire. Huko nako tulikuwa tunakutana na wadau mbalimbali na kuunga udugu au kuanzisha mahusiano.
Maisha tumekula sisi miaka hiyo bwana... Watoto walikuwa wabichi kweli kweli milage unakuta bado ipo vizuri haijaenda sana kama hawa wa sasa. Milage imeenda na kuchoka halafu hawana akili.
Miaka hiyo usingesikia mtu analalamikiwa kibamia au nguvu za kiume. Maana kulikuwa na utoshelevu mzuri. Siyo sasa kumejaa minungayembe mtaani.
Anyway...mimi nlikuwa mjanja miaka hiyo siyo kama siku hizi bwege flani tu mademu wananilia pesa zangu na halafu wanalala mitini. Nlikuwa nipo fresh sana Unyakyusa mwingi sana na Unyamwezi. Mastaa kibao wa miaka hiyo nlifanikiwa kuwa check.
Watangazaji,waimbaji na waigizaji....ukiwacheck sasa wamechoooka. Nami nimechoka kidogo akili sababu ya mibangi. Tumetoka mbali sana. Maisha haya zichange muda huu kama unaweza fainali uzeeni.
Sasa nakula nchi tu huku nakuja tibuana mara moja moja na watu humu JF. Maana mimi ni kama Kubwa Jinga, Kubwa Bwege. Acha maisha yaende. Pesa zipo matumizi tu ndo shida. Sometime unaona ukikosa kitu cha kununua basi ununue hata Ugomvi...