ana haja za mwili kama wengine ...sasa kuliko kufanya uhuni anaona bora aoe atulie na huyo mmoja...
mi mwenyewe 36 nikiamua naweza kuuchuna tu bila hiyo mambo ndio nashangaa hapo ngozi ishajikunja unakuwa na haja gani za mwili kama si kuchekesha
Hapa mkuu umepotea kidogo,
Kama akioa kichanga kweli ni nongwa, lakini kama kaoa mzee mwenzake kuna ubaya gani? Nashauri, mjane au mgane si vizuri kuruka ruka kama afya inaruhusu. La pili, Wagane wengi huwa ngumu sana kuishi baada ya mamsapu kutangulia mbele ya haki, hivyo upweke huwa ni ugonjwa mkubwa kwao, lakini akimpata mwenzake si vibaya.
La tatu, kwani kuishi duniani mwisho miaka mingapi? Maana niko na mdogo wangu Mgabe pale Zimbabwe kagonga 93, na alifiwa miaka mingi iliyopita, sasa kama angefuata falsafa yako, angeishije?
nimecheka sana mdogo wako naniiHapa mkuu umepotea kidogo,
Kama akioa kichanga kweli ni nongwa, lakini kama kaoa mzee mwenzake kuna ubaya gani? Nashauri, mjane au mgane si vizuri kuruka ruka kama afya inaruhusu. La pili, Wagane wengi huwa ngumu sana kuishi baada ya mamsapu kutangulia mbele ya haki, hivyo upweke huwa ni ugonjwa mkubwa kwao, lakini akimpata mwenzake si vibaya.
La tatu, kwani kuishi duniani mwisho miaka mingapi? Maana niko na mdogo wangu Mgabe pale Zimbabwe kagonga 93, na alifiwa miaka mingi iliyopita, sasa kama angefuata falsafa yako, angeishije?
nimecheka sana mdogo wako nanii