Msulibasi
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,957
- 8,005
- Thread starter
- #21
Kampani gani hiyo ya uzeeni mfano mtu wa kawaida kijijini miaka 63 ukaoe mwenzio wa miaka 59 mwenye historia tofauti kabisa unadhani mnaweza kuendana? unadhani atakusaidia nini ? kufua hawezi ,kupika hawezi ,Sasa hapo si umeongeza tatizo ndugu zanguni?