Ngoja tutamuuliza mzee mengi
kuna watu wanadhani kuwa na ndoa nikufinyangana tu bila kikomo.....
Nimekula maharage sijui ya wapi mieeee
Ukiona hivyo wanaume ni viumbe dhaifu ndo maana hawawezi kuishi wenyewe Kwa mwanamke siyo issue kuolewa umri huo.
Mwanamume ndio anaeamua kuoa. Mwanamke yeye haamui kuoa isipokuwa anaambiwa na muoaji kuwa nataka kukuoa iunasemaje? Anao uamuzi wa kukubali au kukataa lakini yeye sio anaeoa. Umenielewa
Miaka 55 bado mbichi kabisa:eyebrows:. Si ndio hao tunaambiwa ni 'vijana' kwenye siasa?