Miaka Minne bila Magufuli

Miaka Minne bila Magufuli

Wewe ungekuwa ni Rais usingewapa watoto wako kazi?mbona kikwete aliwapa akina Ridhiwani hata ubunge na amewasimamia kupata uwaziri.Tuache uwongo hata Mimi nikiwa Rais ajira hizi zinazotoka na ninamtoto amemaliza chuo lazima angepata


Anawaambia watoto wa wenzie wajiajiri, halafu ndugu zake na wanae alikuwa anawapa vitengo pumbavu sana....naanza na Musa magufuri aliekuwa mwalimu wa chuo Cha maendeleo ya jamii Buhare Musoma leo anakula shushu wizara ya madini na kufundisha aliishasahu jamaa alikuwa ni bonge la kilaza kwa wale waliopitia chuo Cha maendeleo ya jamii Buhare ni mashahidi. Mwingine ni Jesca magufuri, huyu mtoto wa magufuri alifeli kwa kupata division four lakini leo yupo wizara ya madini kama afisa muajiri(HR) kwenye ofisini flani na mkoa flani, na mwingine ni Judith magufuri huyu yeye alikuwa ni (das) wilaya flani huko morogoro nawafahamu wengi Tu lakini kwa leo niishie hapa....
 
Bingwa wa propaganda miradi ya watangulizi wake kaiteka nyara,fedha za mikopo anadai kawabana mafisadi,anakwapua fedha za watu benki anadai amekusanya kodi,mtu mwenye wivu hataki mtu mwingine asifiwe zaidi yake,ukimbishia vijana wake wanaingia kazini kukuBen Saanane,mbinafsi kila mradi Chato!
 
Results za sustainable development hazipimwe kwa mawazo na nadharia za viongozi au kupelekea kuundwa sera zisizo tekelezeka. Huo ndio ulikuwa uongozi wa Nyerere wakinadharia tu na itikadi performance na social impact Hakuna.

Magufuli was something else a doer, tunajenga; tunajenga hakuna hadithi nyingine. Umeme aukatiki au katwi.

Tunajitegemea, tutajitegenea bila ya misaada; ikibidi kukopa private banks. Sasa kukopa private banks inabidi vitabu vyako vya balance sheet na cashflow viwe sawa.

Misaada wazungu wanaitumia kama soft power, ukizingua wanaikata kwa sababu wewe ni tegemezi ukilia njaa baada ya kukatiwa. Ili wakurudishie masharti ni kufanya abc wanavyotaka wao.

Huo upuuzi Magufuli alisema no, hamuwezi tumia soft power ya misaada kutupangia moral value zetu au maamuzi yetu ya kuendesha nchi.

Magufuli was a man and a half, ni watu wa hovyo tu serikalini, majizi na sakapoko ambao uchangiaji wao JF unategemea vocha za watu wanaowapangia cha kuandika JF wanaweza mtukana Magufuli.

Magufuli hakuwa wa mzaha-zaha kabisa, R.I.P.
Ni kitu gani Tanzania tulifanya wakati wa magu ambacho hatukukipata bila msaada au mkopo kutoka kwa Beberu?
 
Ni kitu gani Tanzania tulifanya wakati wa magu ambacho hatukukipata bila msaada au mkopo kutoka kwa Beberu?
Cha msingi hapa ni weruvu hapa ni huko TISS kupanga succession planning sahihi.

Na shughuli za usalama wa nchi na mustakali wake ni mchezo wa watu wenye akili.

Kwa sababu mtu kama wewe ata nikikwambia faida ya serikali kuweka hela bank na kukopeshwa hela zake bank inazonunulia government security, uwezi kuona logic ya hoja.

Kinachohitajika Tanzania ni team ya technocrat kubaini mapungufu ya management issue za taifa, kupanga mikakati na kufanya kazi.

Kusikiliza mabishano ya hoja za hovyo kama yako ni kupoteza muda tu, na hizi ndio akili za watanzania.

Magufuli was special
 
Hii Tanzania ilikuwa na raisi mmoja TU ambaye ni John Joseph magufuri mwamba wa Africa,utakuwa mjinga wa viwango gani unayeshindwa kukunari kazi kubwa aliyoifanya...trump anatufundisha tusiwe watu wa kuombaomba tutengeneze uchumi wetu wa nchi sio kutegemea misada na magufuri aliongea sana na kuasa nchi za Africa kuwa wamoja.
Miafrica mijinga tuu na haipendani.
Inaishi kwa huruma ya wadhungu tuu
 
1. Ben Saanane
2. Azory gwanda
3. MKIRU
4. COCO BEACH HUMAN CORPSES
Uwe mnufaikaji wa system iliyopo sasa, vinginevyo kumsagia kunguni Magufuli ni upunguani.

Besides kwa long term prosperity ya Tanzania inabidi nchi ijipange kwa kuandaa viongozi sahihi na watu wenye.

Kwa siasa za Tanzania na 80% ya uwezo wa viongozi nchi aichomoki.

Mengine ni ujinga tu mnao jijaza kwa kudhani kazi ya kuongoza nchi ni rahisi.

Magufuli was very special
 
Uwe mnufaikaji wa system iliyopo sasa, vinginevyo kumsagia kunguni Magufuli ni upunguani.

Besides kwa long term prosperity ya Tanzania inabidi nchi ijipange kwa kuandaa viongozi sahihi na watu wenye.

Kwa siasa za Tanzania na 80% ya uwezo wa viongozi nchi aichomoki.

Mengine ni ujinga tu mnao jijaza kwa kudhani kazi ya kuongoza nchi ni rahisi.

Magufuli was very special
kwa vile hakumuua mama yako
 
kwa vile hakumuua mama yako
Alimuua mama yake nani? Kwa mfano.

Mtu mwenyewe unajiita retired, unless uwe umeiba kweli kweli na utakachoacha watoto wako na wajukuu żako waweze kukikuza ata ukiwa kaburini.

Vinginevyo uongozi unataka mtu wa kutengeneza mazingira ambayo ata kama yeye hayupo kuna infrastructure na mitazamo ya kisera ambayo itainua vitukuu vyako.

Wewe ni selfish and ignorant unaefikiria maslahi yako ya muda mfupi, fikra za uongozi ni zaidi ya upuuzi uliojaa kichwani kwako.

What a selfish human being.
 
Cha msingi hapa ni weruvu hapa ni huko TISS kupanga succession planning sahihi.

Na shughuli za usalama wa nchi na mustakali wake ni mchezo wa watu wenye akili.

Kwa sababu mtu kama wewe ata nikikwambia faida ya serikali kuweka hela bank na kukopeshwa hela zake bank inazonunulia government security, uwezi kuona logic ya hoja.

Kinachohitajika Tanzania ni team ya technocrat kubaini mapungufu ya management issue za taifa, kupanga mikakati na kufanya kazi.

Kusikiliza mabishano ya hoja za hovyo kama yako ni kupoteza muda tu, na hizi ndio akili za watanzania.

Magufuli was special
Maneno mengiii! Hujajibu swali langu. Wewe utakuwa muathirika wa uongo wa ccm. Ccm na viongozi wake wamekuwa wakitudanganya Watanzania tangu uhuru mpaka Leo.
 
Back
Top Bottom