Miaka Minne bila Magufuli

Miaka Minne bila Magufuli

Maneno mengiii! Hujajibu swali langu. Wewe utakuwa muathirika wa uongo wa ccm. Ccm na viongozi wake wamekuwa wakitudanganya Watanzania tangu uhuru mpaka Leo.
Swali łąki ni too generic kwa sababu serikali budget yake zama za Magufuli 80% ni mapato ya ndani.

Sasa mimi nitajua vipi mradi upi chanzo chake ni vyanzo vya ndani; na upi mkopo.

Maswali mengine majibu yake labda kama unataka kuongopewa.
 
Swali łąki ni too generic kwa sababu serikali budget yake zama za Magufuli 80% ni mapato ya ndani.

Sasa mimi nitajua vipi mradi upi chanzo chake ni vyanzo vya ndani; na upi mkopo.

Maswali mengine majibu yake labda kama unataka kuongopewa.
Upanuzi wa barabara ya Kimara kwenda Mbezi JPM alitumia mapato ya ndani!
 
Swali łąki ni too generic kwa sababu serikali budget yake zama za Magufuli 80% ni mapato ya ndani.

Sasa mimi nitajua vipi mradi upi chanzo chake ni vyanzo vya ndani; na upi mkopo.

Maswali mengine majibu yake labda kama unataka kuongopewa.
Budget ya mwisho ya Magu Serikali ilikadiria kupata asilimia 69 ya budget hiyo na kupanga kukopa 4trilion na mabeberu yangejazia 6trillion. Hapa Magu hakutaka kutuweka wazi kuhusu fedha za mabeberu na hata mikopo ya nje mingi tulifichwa, halafu tukaambiwa miradi inatekelezwa na Fedha za ndani tu, kitu ambacho ni uongo. Tangu uhuru Tanzania haijawahi kuchangia asilimia 80 katika budget yake!
 
Upanuzi wa barabara ya Kimara kwenda Mbezi JPM alitumia mapato ya ndani!
Hayo maswali anaeweza jibu ni Dr Mpango, ndio aliekuwa na majukumu ya finance allocation wakati Magufuli.

Majibu yangu labda kama unataka nikuongopee, kwanza hata hiyo barabara yenyewe unayoongelea siijui.
 
Budget ya mwisho ya Magu Serikali ilikadiria kupata asilimia 69 ya budget hiyo na kupanga kukopa 4trilion na mabeberu yangejazia 6trillion. Hapa Magu hakutaka kutuweka wazi kuhusu fedha za mabeberu na hata mikopo ya nje mingi tulifichwa, halafu tukaambiwa miradi inatekelezwa na Fedha za ndani tu, kitu ambacho ni uongo. Tangu uhuru Tanzania haijawahi kuchangia asilimia 80 katika budget yake!
Point yako haieleweki.
 
Hayo maswali anaeweza jibu ni Dr Mpango, ndio aliekuwa na majukumu ya finance allocation wakati Magufuli.

Majibu yangu labda kama unataka nikuongopee, kwanza hata hiyo barabara yenyewe unayoongelea siijui.
Wewe baki huko huko Moshi uendelee kufaidi hela ya ujenzi wa soko la hovyo!
 
How so, justify your accusations.
Magufuli was questioning why was an elevator (a lift) needed in a hospital.

He thought it was such an unnecessary luxury.

He did not understand that there are people who end up in a hospital who could not walk up the stairs and needed the lift.

Only a country bumpkin would think like that.
 
Uwe mnufaikaji wa system iliyopo sasa, vinginevyo kumsagia kunguni Magufuli ni upunguani.
,
Besides kwa long term prosperity ya Tanzania inabidi nchi ijipange kwa kuandaa viongozi sahihi na watu wenye.

Kwa siasa za Tanzania na 80% ya uwezo wa viongozi nchi aichomoki.

Mengine ni ujinga tu mnao jijaza kwa kudhani kazi ya kuongoza nchi ni rahisi.

Magufuli was very special
Ngugu upo sahihi asilimia mia tatu , kwa miaka 30 toka mwinyi mpaka kikwete tulishindwa kutatua tatizo la umeme Tanzania, Mgufuli aliweza kwa muda mfupi, SGR na biashara ya reli miaka 30 tulifeli Magufuli ameweza kuanzisha na hata reli ya kaskazini alishaanza kufufua, na ilishaanza kufanya kazi, kuhamia dodoma miaka 50 tumlishindwa Magufuli kaweza, 3. Daraja la kigogo busisi sijui nani aliwahi kulifikiria, Daraja la Tanzanite ni ndoto, na ingekuwa ndoto maisha yote, Foleni Dar es salaam hakuna aliyefikiria kujenga flylovers miaka 20 y mkapa na kikwete tulijaribu hatukuweza Magufuli kaweza, ATC kuifufua mkapa alijaribu mpaka kuwapa south africa, tukafeli mara zote, kikwete akaliachia lijifie Magufuli aliweza, WAHUNI waliieweza nchi , magufuli aliwaweza wahuni, madini yalikuwa yanachimbwa na wazungu tu waafrica wacahche sana leo watanzania ndo mhimili wa wizara ya madini na wazalishaji wakubwa tuseme nini tena?
Ki ukweli nina haraka ila list bado ni ndefu sana , Toka uhuru hatujjawahi kupata rais bora kama Magufuli number 2 Nyerere, Number Tatu mkapa no nne Samia, No tano kKikwete mwisho Mwinyi
 
Uwe mnufaikaji wa system iliyopo sasa, vinginevyo kumsagia kunguni Magufuli ni upunguani.

Besides kwa long term prosperity ya Tanzania inabidi nchi ijipange kwa kuandaa viongozi sahihi na watu wenye.

Kwa siasa za Tanzania na 80% ya uwezo wa viongozi nchi aichomoki.

Mengine ni ujinga tu mnao jijaza kwa kudhani kazi ya kuongoza nchi ni rahisi.

Magufuli was very special
Yes, very very special indeed !
 
Results za sustainable development hazipimwe kwa mawazo na nadharia za viongozi au kupelekea kuundwa sera zisizo tekelezeka. Huo ndio ulikuwa uongozi wa Nyerere wakinadharia tu na itikadi performance na social impact Hakuna.

Magufuli was something else a doer, tunajenga; tunajenga hakuna hadithi nyingine. Umeme aukatiki au katwi.

Tunajitegemea, tutajitegenea bila ya misaada; ikibidi kukopa private banks. Sasa kukopa private banks inabidi vitabu vyako vya balance sheet na cashflow viwe sawa.

Misaada wazungu wanaitumia kama soft power, ukizingua wanaikata kwa sababu wewe ni tegemezi ukilia njaa baada ya kukatiwa. Ili wakurudishie masharti ni kufanya abc wanavyotaka wao.

Huo upuuzi Magufuli alisema no, hamuwezi tumia soft power ya misaada kutupangia moral value zetu au maamuzi yetu ya kuendesha nchi.

Magufuli was a man and a half, ni watu wa hovyo tu serikalini, majizi na sakapoko ambao uchangiaji wao JF unategemea vocha za watu wanaowapangia cha kuandika JF wanaweza mtukana Magufuli.

Magufuli hakuwa wa mzaha-zaha kabisa, R.I.P.


Tofauti ni Magufuli alitawala miaka 6 tu na Nyerere alitawala miaka 23. Yaani Nyerere alikuwa madarakani kushuhudia sera zake zinafeli ila Magufuli alitawala muda mfupi. Na hata yeye Magufuli angemaliza muhula wa pili angeshuhudia sera zake zinafeli.
 
Back
Top Bottom