leprincess
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 282
- 456
Hii inawezekana sana wala sion ajabu.Inawezekana ndani ya miaka hyo nane ipo miaka ya uanafunzi na hii kama alisoma boarding school (girls),mazingira anayofanyia kazi labda wote wameoa na wapo wachache.Tatu yawezekana hajichanganyi na watu wengine yaan yuko busy sana esp kama n mambo safi. Kikubwa awe social,achangamane na watu. Mwisho amwombe Mungu amkutanishe na mwanaume ambaye amemoangia kuwa mume wake.
