Bushland si ungemtongoza wewe au ni ndugu yako? na kwa maana hiyo ina maana hajadinywa kipindi chote hicho?Hivi jamani inakuwaje binti akae muda wote huo bila kutongozwa?
Binti kakamilika kila idara, shepu pia ipo, kazi inayomwongizia kipato anayo tatizo analalamika hatongozwi, anadai katika maisha yake yote katongozwa Mara 2 Tu . Umri umeenda sasa anahitaji mume la kumuweka ndani hapati maana hata wa kumtongoza hayupo.
We mwenyewe mkuu umeshindwa kumtongoza, atakua na matatizo yake
Bushland si ungemtongoza wewe au ni ndugu yako? na kwa maana hiyo ina maana hajadinywa kipindi chote hicho?
Mnataka nikamtongoze mwanamke mwenzangu?halafu tufanye nini sasa?Wewe umeshindwa nini mpaka uje utuambie sisi, BE A MAN
Weka picha...
NIPE NAMBA YA HUYO DADAHivi jamani inakuwaje binti akae muda wote huo bila kutongozwa?
Binti kakamilika kila idara, shepu pia ipo, kazi inayomwongizia kipato anayo tatizo analalamika hatongozwi, anadai katika maisha yake yote katongozwa Mara 2 Tu . Umri umeenda sasa anahitaji mume la kumuweka ndani hapati maana hata wa kumtongoza hayupo.
Lakini nilipokutongoza ukakataaNiamini mimi hili jambo linawezekana kabisa
, haiwezekani usitongozwe miaka nane.hata avatar yake ya kiume na jina pia limekaa kiumeJinsi ulivoileta mada watu wamejua ni dume ndio maana ukaambiwa kwa nini usimtongoze wewe.
ni pm namba yake nimtongoze ili nimfungulie barakaMnataka nikamtongoze mwanamke mwenzangu?halafu tufanye nini sasa?
haha imebidi nicheke tuu, yaani alivyo mchambua utadhani anamfahamu au alishawahi kumuona mahali.Mkuu unamfahamu huyo binti? Umejuaje kama tinginya