Najua serikali yetu imefanya mengi sana ,Pia nimshukuru Mungu kuwa na viongozi ambao toka uhuru wamelinda amani ya nchi yetu na kutetea umoja na mshikamano wetu.
Kiukweli, zipo nyanja tumepiga hatua kwakiasi na zipo nyanja ambazo bado sana.
Swala la maji:Hasa kwa mkoa au jiji linalochangia asilimia zaidi ya 50 kwenye uchumi wetu ,ni jambo lenye kuleta maumivi ,mfadhaiko na tafakari ngumu kuwa,
Viongozi hawana maono?
Je, hakuna mipango ya muda mrefu na muda mfupi?
Je, hakuna njia mbadala?
Toka uhuru mpaka leo hii tunaona kabisa jinsi ongezeko la watu hasa mijini linavyoongezeka kwa kasi?
Watu wa sera na mipango mpo wapi?
Miaka 60 ,ya uhuru chanzo cha maji kikuu ninkimoja tuu ,mto ruvu? Hapa sisemi
Ila uzembe na kutowajibika upo sana kwa viongozi wetu. Lazima mkubali kulaumiwa kwa hapa, chama cha mapinduzi pamoja na serikali yake ni aibu kukaa madarakani muda wote huo nakushindwa kumaliza tatizo la maji hasa kwa mji wa Dar es salaam, kwa sababu inawezekana.
USHAURI.
UJENGWE MTAMBO WA MAJI MKUBWA BWAWA LA NYERERE
Najua itakuwa nje ya mpango ila nadhani ,kama tutaweza zalisha megawati 2000,basi hapo hapo ujengwe mtambo wa maji wa zaidi ya ujazo wa lita bilioni 20 kwaajili ya miaka 50 ijayo hii tutaweza sadia kusambaza majia kuanzia Dar es salaam ,pwani na hata lindi na morogoro.
MFUMO WA UVUNAJI WA MAJI YA MVUA
Naamini maji ya mji wote wa dar es salaam yanaweza kuvunwa ba kuhifadhiwa pale tutapo waelimisha wanachi jiji hili .(Bati kwa bati ,nyumba kwa nyumba ,hii itasadia kupata maji toshelevu kwaajili ya matumizi mbali mbali.
KUBADILI MAJI YA BAHARI
Hii natumaini ishajulikana
BWAWA LA MTO WAMI
Serikali iamue kujenga bwawa mto wami kwaajili ya matumizi ya maji kwa mji wa chalinze ambao mpaka kufikia 2060 unaweza kuwa na idadi kubwa ya watu ,Mfumo wa maji huo uunganishwe na mfumo wa dawasa.
N.B
Nashauri kuwe na munganisho wa mifumo wa maji nchi kama ilivyo na umeme ili ikitokea chanzo kimoja kimefeli kingine kisadie ,mfano Bomba la maji linalotoa ziwa victoria lifike mpaka dodoma ,liunganishwe na morogoro, maji ya morogoro pia yaunganishwe na iringa ,na pwani na mpaka dar es salaam ,kazi otakuwa tuu kuwa na sehemu za kuongeza presha ya maji ili ikitokea mfumo mmoja umekwama tunafungulia mwingine .
Naomba kuwasilisha wazo. Ila viongozi muwe na mipango ya mda mrefu .maji ,umeme ,afya na elimu
Kiukweli, zipo nyanja tumepiga hatua kwakiasi na zipo nyanja ambazo bado sana.
Swala la maji:Hasa kwa mkoa au jiji linalochangia asilimia zaidi ya 50 kwenye uchumi wetu ,ni jambo lenye kuleta maumivi ,mfadhaiko na tafakari ngumu kuwa,
Viongozi hawana maono?
Je, hakuna mipango ya muda mrefu na muda mfupi?
Je, hakuna njia mbadala?
Toka uhuru mpaka leo hii tunaona kabisa jinsi ongezeko la watu hasa mijini linavyoongezeka kwa kasi?
Watu wa sera na mipango mpo wapi?
Miaka 60 ,ya uhuru chanzo cha maji kikuu ninkimoja tuu ,mto ruvu? Hapa sisemi
Ila uzembe na kutowajibika upo sana kwa viongozi wetu. Lazima mkubali kulaumiwa kwa hapa, chama cha mapinduzi pamoja na serikali yake ni aibu kukaa madarakani muda wote huo nakushindwa kumaliza tatizo la maji hasa kwa mji wa Dar es salaam, kwa sababu inawezekana.
USHAURI.
UJENGWE MTAMBO WA MAJI MKUBWA BWAWA LA NYERERE
Najua itakuwa nje ya mpango ila nadhani ,kama tutaweza zalisha megawati 2000,basi hapo hapo ujengwe mtambo wa maji wa zaidi ya ujazo wa lita bilioni 20 kwaajili ya miaka 50 ijayo hii tutaweza sadia kusambaza majia kuanzia Dar es salaam ,pwani na hata lindi na morogoro.
MFUMO WA UVUNAJI WA MAJI YA MVUA
Naamini maji ya mji wote wa dar es salaam yanaweza kuvunwa ba kuhifadhiwa pale tutapo waelimisha wanachi jiji hili .(Bati kwa bati ,nyumba kwa nyumba ,hii itasadia kupata maji toshelevu kwaajili ya matumizi mbali mbali.
KUBADILI MAJI YA BAHARI
Hii natumaini ishajulikana
BWAWA LA MTO WAMI
Serikali iamue kujenga bwawa mto wami kwaajili ya matumizi ya maji kwa mji wa chalinze ambao mpaka kufikia 2060 unaweza kuwa na idadi kubwa ya watu ,Mfumo wa maji huo uunganishwe na mfumo wa dawasa.
N.B
Nashauri kuwe na munganisho wa mifumo wa maji nchi kama ilivyo na umeme ili ikitokea chanzo kimoja kimefeli kingine kisadie ,mfano Bomba la maji linalotoa ziwa victoria lifike mpaka dodoma ,liunganishwe na morogoro, maji ya morogoro pia yaunganishwe na iringa ,na pwani na mpaka dar es salaam ,kazi otakuwa tuu kuwa na sehemu za kuongeza presha ya maji ili ikitokea mfumo mmoja umekwama tunafungulia mwingine .
Naomba kuwasilisha wazo. Ila viongozi muwe na mipango ya mda mrefu .maji ,umeme ,afya na elimu