TUMETHUBUTU.
kuuwa reli,bandari,atc,general tyre,kilitex,mashamba ya mikonge,miwa,ngano,mpunga,sukita,marumaru,nknk.
TUMEWEZA
.kuuza nyumba za serikali,kugawa madini yetu kwa wageni,kugawa urithi wa ardhi ya watoto wetu kwa wageni,kuingia mikataba itakayo hakikisha watoto na wajukuu zetu watalipa madeni mpaka wachakae,kusomesha watoto wetu ulaya na marekani(nyerere alikuwa mjinga hakupeleka watoto wake),kuwapambanisha watanzania kidini,kugeuza ikulu kuwa uwanja wa fisi,kuwafanya viongozi wa uma kuwa wawekezaji kwenye mashirika ya uma,nk.
TUNASONGA MBELE.
kuuza mahakama,magereza,hosiptali za umma,jeshila polisi,jwtz,usiousalama wa taifa,takukuru,ewura,sumatra,malaka ya hali ya hewa,reli na atc kwa awamu ya pili,wizara zote,halmashauri zote,nyumba za serkali zilizobaki kwa wale viongozi waliokosa mgao wa kwanza,barabara zote za lami,mbuga za wanyama,mlima kilimanjaro,meru,boda zote nknk.
MPAKA HAPO MWENYE KUSEMA CCM HAIKUFANYA CHOCHOTE NI MVIVU WA KUFIKIRI.