WISDOM SEEDS
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 841
- 282
Tanzania imepiga hatua kubwa kufuta umaskini katika miaka 50 kuliko nchi nyingi kwa muda huo.
Hata Merekani, ambayo ni nchi tajiri duniani, mpaka miaka 150 baada ya Uhuru walikuwa bado wanatabaka la
umaskini kubwa kuliko ilivyo Tanzania kwa sasa.
Great thinker hawezi kuwa na mawazo mgando kama haya. Bado mnaendekeza ile formula ya
"head in the oven and legs in the freezer, the average is comfortable" kitu ambacho ni hatari
kwa ustawi wa maendeleo ya nchi yetu