Wana JF, labda mi sina shukrani, labda cjaweza kuchambua inavyo pasa, lkn inaweza kuwa na maana nanyi mkakagua hii miaka 50, ni vipi kama wangebaki wakoloni? Wkt mwingine najaribu kuvuta hisia za maumivu ya kutokua na uhuru kuliko wapata mababu ze2,kweli napata machungu, lkn naona ni heri wangekuwepo zaidi, maana kwangu mm uhuru umeturudisha nyuma miaka 40, ninavyo kwakua tuna tabia ya kuangalia tunayoita maendeleo pacpo kuangalia madhara yake au kulinganisha na madhara yake, km vle, global warming, femine, hunger, deseases, kwangu mm yanayoitwa maendeleo heti kuna jitihada zilizo fanywa.... Ni heri Tz ingeachwa km ilivyo pangekua na maendeleo ya kweli, kwa WaTZ, mioyoni, mwilini, kwenye mazingira na kwa viumbe wengine nk, hayo xangekua maendeleo, lkn c ilivyo sasa km itafanyika tathmini, wanao jigamba watafungwa na Mungu kwa kuita uharibifu maendeleo, labda wenze2,