Miaka 5 kazini mshahara haujawahi kutana

Miaka 5 kazini mshahara haujawahi kutana

Umemalizaa Mkuu...!!


Japo ni risk lakini kama una mwanamke anaejielewaa mpe akushikiee baki na kiasi kidogo cha matumizi na mkeo awe mbinde sanaa yani kila ukitaka hela sio anakupa tuu bora akupe ya kutumia siku hiyo tu maana umeshindwa kujiendeshaa mkuu japo haya mambo acha tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Pesa ya mshaara ina mapepo sijui
Ďah kuna staff mwenzetu mme wake ni mtu wa gambe sana .sasa akipata mkwanja kabla hajaenda kulewa anampatia mkewe amuhifadhie pesa.Ila akishatupia mbili tatu anarud maskani akiwa mbogo anataka apewe mkwanja wake yaan anatishia hadi kichapo kwa mkewe.

Mzunguko unaenda ni hvo kila hela inaishia kwenye tungi yaani.
 
Clinker belite,

Angalia matumizi yako kwa mwezi wapi hela kubwa zinatumika.Ukianzia hapo utajua pesa inakopotolea na kuziba hiyo loop hole.

Pesa huwa inatabia moja yaani 'get more consume more' then unajikuta pesa inaisha fasta sana.
Cycle inajirudia hivyo hivyo na usipobadilika unakuta kwa mwaka umepitisha hata m20 lakin hujafanya cha maana
 
Huna nidhamu ya hela either ni kwa sababu hukusota na kuujua upande wa pili wa shillingi au ni ignorance yako yakuona 1.2m is such a big deal ukasahau kufanya mambo mengine, labda niulize huo mshahara mnalipwa cash au kupitia benki??. Anyways pesa yako so as long as unaingiza kila mwezi endelea kutumia bila malengo ukizeeka tukutane tena.
 
Ďah kuna staff mwenzetu mme wake ni mtu wa gambe sana .sasa akipata mkwanja kabla hajaenda kulewa anampatia mkewe amuhifadhie pesa.Ila akishatupia mbili tatu anarud maskani akiwa mbogo anataka apewe mkwanja wake yaan anatishia hadi kichapo kwa mkewe.
Mzunguko unaenda ni hvo kila hela inaishia kwenye tungi yaani.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatari sana aisee!! Gambe noma sanaa inakwamisha sana vijana.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatari sana aisee...!! Gambe noma sanaa inakwamisha sana vijana..
Ni hatari mzee na jamaa kabla hajatupia anakuwa mwema balaa.n weka hii 400k mama watoto ila akirudi anaziomba kibabe na akirud n ngoma saa 10 usiku hana hata chenji.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatari sana aisee...!! Gambe noma sanaa inakwamisha sana vijana..
Ni hatari mzee na jamaa kabla hajatupia anakuwa mwema balaa.n weka hii 400k mama watoto ila akirudi anaziomba kibabe na akirud n ngoma saa 10 usiku hana hata chenji.
 
Shetani na mawakala wake wanakamata uchumi wa watu, jaribu kutafakari namna Mungu anavyoweza kukusaidia kukulinda kwenye maeneo mbalimbali ya maisha, ikiwemo na eneo la uchumi. Ukisoma kitabu cha Ayubu utagundua mafanikio yake yalikuwa yanalindwa na miale ya moto, yaani roho wa Mungu...ule ulinzi ulipoondolewa ndo ibilisi akapata upenyo wa kumshambulia na kila aina ya mabalaa na mikosi...
 
Wakuu, hii ni nini?

Nilipomaliza chuo, 2014 nikapata shule fulani ya kujishikiza huku nikisubiri ajira ya fani yangu. Mshahara ulikua 400k kwa mwezi. Nilikuwa naishi fresh, natuma kwa maza home, namlipia dogo tution mapambako akija likizo na pesa ikawa inakutana na mshahara ujao. Nilifundisha kwa mwaka mmoja na sijawahi ishiwa.

Mwaka 2015 nikapata ajira yangu sasa. Mshahara take home ikawa ni around 900k. Lakini pesa haijawahi kutana. Sinywi pombe, naendaga club na matamasha ya muziki mara moja moja lkn sijawahi tumia zaidi ya 30. Na kwa mwezi labda ktk bata naenza enda mara 2 au 3.

Mwaka 2018 nikapata kazi ingine, take home ikawa zaid ya 1.2m. Nilkuwa nishaoa. Wife nikawa nampa 300k matumizi, inabaki 900k. Wazazi na nini labda inabaki 700k. Lkn haijawahi wekeka bank ikutane na mshahara ujao na sioni nimefanyia nini.

Nikaona siwezi weka pesa nikaamua kuchukua mkopo 8m nikajenga nyumba nimehamia home. Makato 410k. So nikikatwa mkopo nabaki na hela lakini same story, hazikutani a mshahara ujao.

Kuna mtu anapitia situation kama hii isiyo na majibu? Tukutane hapa.

Uzi tayari

Wagonjwa wengi wa presha huchangiwa na stress kama hizi. Ila nitakusaidia ........

Mchawi wako mkubwa ni matumizi madogomadogo ambayo kwa kawaida huwa mengi. Kupanda pikipiki, lunch kazini, kuwaungisha ndugu, jamaa na marafiki; kulipia umeme, kurefresh akili kwa kilaji na kinywaji, vifurushi vya simu na kadhalika. Amini usiamini, hiyo 900,000 inamalizwa na hizo hizo Tsh 10,000; Tsh 20,000; Tsh 30,000 na kadhalika unazotoa.

Moyo wako ni mwepesi, hauna uwezo wa kuhimili pesa. Solution yako kwa sasa ni kununua mali na kuanzisha biashara nzuri. Badala ya kukaa na 900,000 wewe nunua mashine kisha kodisha; au ongea na mwenye shamba umlipe kwa installments kisha ukimaliza pesa akukabidhi shamba lako - hatimaye ukitaka lima au hutaki liache tu haliozi, na thamani yake itaongezeka siku hadi siku. Usikae na pesa kaka huziwezi, labda shamba utakaa nalo.

So far kwa sasa kuna mahitaji yako ya msingi (ila hauyahesabii kama ya msingi) ila bado kipato chako hakijakidhi ndio maana unatumia pesa ila huioni imeenda wapi. Ongeza kipato chako kiweze kucover kila hitaji yako na bado pesa nyingine ibaki.

Ukiona bado pesa zinapotea basi toa sana sadaka na uwaangalie vizuri watu wanaokuzunguka.
 
Back
Top Bottom