DAVID PALMER
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 323
- 1,625
Wakuu, hii ni nini?
Nilipomaliza chuo, 2014 nikapata shule fulani ya kujishikiza huku nikisubiri ajira ya fani yangu. Mshahara ulikua 400k kwa mwezi. Nilikuwa naishi fresh, natuma kwa maza home, namlipia dogo tution mapambako akija likizo na pesa ikawa inakutana na mshahara ujao. Nilifundisha kwa mwaka mmoja na sijawahi ishiwa.
Mwaka 2015 nikapata ajira yangu sasa. Mshahara take home ikawa ni around 900k. Lakini pesa haijawahi kutana. Sinywi pombe, naendaga club na matamasha ya muziki mara moja moja lkn sijawahi tumia zaidi ya 30. Na kwa mwezi labda ktk bata naenza enda mara 2 au 3.
Mwaka 2018 nikapata kazi ingine, take home ikawa zaid ya 1.2m. Nilkuwa nishaoa. Wife nikawa nampa 300k matumizi, inabaki 900k. Wazazi na nini labda inabaki 700k. Lkn haijawahi wekeka bank ikutane na mshahara ujao na sioni nimefanyia nini.
Nikaona siwezi weka pesa nikaamua kuchukua mkopo 8m nikajenga nyumba nimehamia home. Makato 410k. So nikikatwa mkopo nabaki na hela lakini same story, hazikutani a mshahara ujao.
Kuna mtu anapitia situation kama hii isiyo na majibu? Tukutane hapa.
Uzi tayari
Nilipomaliza chuo, 2014 nikapata shule fulani ya kujishikiza huku nikisubiri ajira ya fani yangu. Mshahara ulikua 400k kwa mwezi. Nilikuwa naishi fresh, natuma kwa maza home, namlipia dogo tution mapambako akija likizo na pesa ikawa inakutana na mshahara ujao. Nilifundisha kwa mwaka mmoja na sijawahi ishiwa.
Mwaka 2015 nikapata ajira yangu sasa. Mshahara take home ikawa ni around 900k. Lakini pesa haijawahi kutana. Sinywi pombe, naendaga club na matamasha ya muziki mara moja moja lkn sijawahi tumia zaidi ya 30. Na kwa mwezi labda ktk bata naenza enda mara 2 au 3.
Mwaka 2018 nikapata kazi ingine, take home ikawa zaid ya 1.2m. Nilkuwa nishaoa. Wife nikawa nampa 300k matumizi, inabaki 900k. Wazazi na nini labda inabaki 700k. Lkn haijawahi wekeka bank ikutane na mshahara ujao na sioni nimefanyia nini.
Nikaona siwezi weka pesa nikaamua kuchukua mkopo 8m nikajenga nyumba nimehamia home. Makato 410k. So nikikatwa mkopo nabaki na hela lakini same story, hazikutani a mshahara ujao.
Kuna mtu anapitia situation kama hii isiyo na majibu? Tukutane hapa.
Uzi tayari

