Miaka 30 ya Chadema, Swot Analysis, PEST Analysis, Imarisheni Strengths, Shughilikieni Weakness, Start A Fresh!.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,506
113,627
Wanabodi,
Chadema imetimiza miaka 30.
Tangu ile Chadema inazaliwa miaka 30 iliyopita, imezaliwa na kunikuta mimi tayari niko newsroom kwa zaidi ya miaka 2, hivyo Chadema imezaliwa naiona, inakuwa naiona, ilipofika peak naiona, na sasa imeanza kusinyaa naiona, na ikiendelea hivi kwa mwendo huu, naiona kule inakoelekea, hivyo hili ni bandiko la ushauri, ili isifike huko ninakokuona mimi.

Hili ni bandiko la SWOT Analysis, na PEST Analysis, ya Miaka 30 ya Chadema huku nikiwashauri wa imarisheni strengths zao, na kushughughulikia weakness zao, na kama ikibidi to start afresh, Chadema is start a fresh!.

Mtu Asiye Chadema, Anaishauri Chadema Kama Nani?

Japo chama cha siasa ni mali ya wanachama, vyama vya siasa nchini Tanzania, vyenye wabunge na madiwani, ambavyo vinapokea ruzuku ya serikali, sio private parties za wanachama tuu, ni public parties za umma, paid by taxpayers money, ndio maana hesabu zake zinakaguliwa na CAG, hivyo sisi as public, mimi nikiwemo, we have all the rights to ask, know or make comments kuhusu all it's affairs, public as well as private.

Declaration of interest.

Mimi ni kada wa chama cha Mapinduzi, ila chama cha Mapinduzi kina makada wengi na wa aina nyingi na makundi mengi, kada mimi ni type mpya ya makada wa CCM, tunaitwa CCM Contemporary, tunaoamini katika kutenda haki bin haki, CCM ikishinda uchaguzi, ishinde kwa haki, katika uchaguzi huru na wa haki, huku tukiamini bila upinzani imara, hakuna CCM imara.

Kiukweli kabisa Tanzania, hatuna upinzani imara, hivyo
huu ni ushauri wa bure, kwa Chadema, wa tathmini yangu ya Chadema ilipotoka, ilipo na inapokwenda, na Chadema mko huru kuusoma au kutousoma, kuuelewa au kutoelewa, kuufuata au kutoufuata, au hata kuupuuzia, mimi nitakuwa nimetimiza wajibu wangu.

Ushauri huu nauweka kwenye points format huku nikionyesha nilishauri nini na nini kikatokea.

Highlights
Intro SWOT ni nini na PEST ni nini?.
SWOT na PEST za kazi gani, au za nini?.
Historia ya Chadema
Chadema ile iliyokusudiwa
Mapito ya Chadema
Uimara wa Chadema
Udhaifu wa Chadema
Makosa ya Chadema
Matokeo ya makosa ya Chadema
Chadema ya Sasa
Chadema ilipo
Chadema inapokwenda
A Way Forward.
Hitimisho.
Intro SWOT ni nini na PEST ni nini?.
SWOT ni neno la Kiingereza ambalo ni kifupi cha Strengths, Weaknesses, Opportunities, and Threats, ambapo hapa unachambua uimara, changamoto, fursa na hatari au tishio kwa Chadema.
PEST Analysis ni kifupi cha Political, Economic, Social and Technological.

SWOT na PEST ya Chadema ni za Nini?
SWOT
analysis ni kupima utendaji wa Chadema kama chama cha siasa katika kutimiza malengo yake. PEST analysis inapima trends na kuonyesha mialekeo ya Chadema kwenye the game of politics. A SWOT analysis ni subjective assessment wakati PEST analysis ni objective.

Historia ya Chadema
Chama cha Demokrasia na Maendeleo, kiliomba rasmi usajili Tarehe 28/05/1992 na kupewa usajili wa muda, Tarehe 2 July 1992, kikafanya Mkutano wake Mkuu wa kwanza wa kuiasisi Chadema, Ukumbi wa Msimbazi
Agenda ya Usajili Chadema.png

uliohudhuriwa na waasisi 89, ambao mimi nilihudhuria nikiwa ripota wa RTD.
Hawa ndio Wanachama Waasisi wa Chadema
Wanachama Waanzilishi Chadema 49.png
Wanachama Waanzilishi Chadema, 2- 49.png

Kati ya wanachama hawa waasisi wa Chadema, sijui ni wangapi bado wako Chadema mpaka sasa zaidi ya Freeman Mbowe.
Tarehe 21, mwezi January, mwaka 1993 ndipo Chadema kikasajiliwa rasmi kwa usajili wa kudumu na Msajili wa kwanza wa Vyama vya Siasa, Balozi Jaji Mst. George Liundi kikiwa ni chama nambari 3 baada ya CCM Numbari 1, na CUF Nambari 2
Cheti cha Usajili Chadema.png

Hivyo usikute japo mimi sio Chadema, kama jina lako halipo kwenye majina hayo, ujue mimi naijua Chadema kuliko wengi wa Chadema wenyewe kwasababu nilikuwepo hapo siku hiyo!.
Kufahamiana na Viongozi Wakuu wa Chadema.
Edwin Mtei ni baba mzazi wa Class mate wangu kwa miaka 7, enzi za Primary, 1975-1981 ikiwemo kufika kwake kote kote Dar na Arusha-, hivyo kuna uwezekano kuna watu humu wanadhani wana,fahamu sana muasisi wa Chadema, Mzee Edwin Mtei, kumbe wamemfahamia Chadema, mimi nimemfahamu toka akiwa Gavana, sambamba na Bob Makani.
Freeman Mbowe tumefahamiana kitambo, toka akiwa DJ, Mimi na Uncle J Nyaisanga ndio tumekuwa ma MC wa kwanza wa Club Billicanas ile inafunguliwa 1993, 1995, nimeendeshea kipindi cha Kiti Moto kutokea Bills, na nilipoa ile 1995, vikao vyangu vya harusi vimefanyikia Bills, nilipewa ukumbi bure na Freeman mwenyewe in person.

Nawaomba sasa sana sana kwa sasa, jiuzuie kadri uwezavyo msichangie chochote kwanza kwenye uzi huu hadi nondo zitakapo anza kushuka.

Natanguliza shukrani
Karibuni.
Paskali
 
Mambo yao waachie wenyewe...
Dah ila we jamaa sometimes unazinguaga kdg SI amesha declare interest na amesema uchambuzi NI kazi yake na uandishi..Tena akakutaka tusicomment chochote na kweli tuka mute japo tulitamani hata kumpa big up kwa intro TU alivyoipangilia..anyway paskali twende kazi if possible unganisha muendelezo kwenye thread yako hii hii.lete vitu kutoka ndani ya idara ya Pasco.
 
Pale Chadema watakapopewa nafasi ya kufanya shughuli za kisiasa kwa uhuru kama wengine, chaguzi zetu zikawa huru na haki, ndipo nitakuwa kwenye nafasi nzuri ya kuona udhaifu na uimara wao.

Lakini kwa sasa wamefungwa kamba mikono yao iko nyuma, hawaruhusiwi kufanya hata mikutano ya ndani, naanzaje kuonesha udhaifu wa Chadema wakati tayari wameshalazimishwa waonekane dhaifu?

Naona wengi mnaojitokeza kuzungumzia udhaifu wa Chadema huwa mnasahau hali yao kisiasa wanayoipitia kwa sasa, kama mngeikumbuka hayo kwanza naamini mngejiuliza mara mbili kama hayo mnayoona ni madhaifu yao kweli wanayo.
 
Wanabodi,
Intro
Ingawa wengi humu mnanifahamu, lakini ukifanya jambo ambalo halikuzoeleka, sio vibaya ukijitambulisha upya ili u justifies unafanya kama nani na kwa mamlaka gani.

Jina langu ni Paskali Mayalla, kazi yangu ni mwandishi wa habari wa kujitegemea. Tangu ile Chadema inazaliwa miaka 30 iliyopita, imezaliwa na kunikuta mimi tayari niko newsroom kwa zaidi ya miaka 2, hivyo Chadema imezaliwa naiona, inakuwa naiona, ilipofika peak naiona, na sasa imeanza kusinyaa naiona, na ikiendelea hivi kwa mwendo huu, naiona kule inakoelekea, hivyo hili ni bandiko la ushauri, ili isifike huko ninakokuona mimi.

Miongoni mwa kazi zangu mimi kama mwandishi wa habari, zaidi ya kuandika habari, kuripoti habari na kutangaza habari na vipindi mbalimbali vya Redio, TV na Online media, mimi pia huwa nafanya utafiti wa SWOT Analysis na PEST Analysis (Mtanisamehe, sijui Kiswahili cha maneno hayo.

Hili ni bandiko la SWOT Analysis, na PEST Analysis, ya Miaka 30 ya Chadema huku nikiwashauri wa imarishr strengths zao, na kushughughulikia weakness zao, na kama ikibidi to start afresh, Chadema is start a fresh!.

Mtu Asiye Chadema, Anaishauri Chadema Kama Nani?.
Japo chama cha siasa ni mali ya wanachama, vyama vya siasa nchini Tanzania, vyenye wabunge na madiwani, ambavyo vinapokea ruzuku ya serikali, sio private parties za wanachama tuu, ni public parties za umma, paid by taxpayers money, ndio maana hesabu zake zinakaguliwa na CAG, hivyo sisi as public, mimi nikiwemo, we have all the rights to ask, know or make comments kuhusu all it's affairs, public as well as private.

Declaration of interest.
Mimi ni kada wa chama cha Mapinduzi, ila chama cha Mapinduzi kina makada wengi na wa aina nyingi na makundi mengi, kada mimi ni type impya ya makada wa CCM, tunaitwa CCM Conteporary, tunaoamini katika kutenda haki bin haki, CCM ikishinda uchaguzi, ishinde kwa haki, katika uchaguzi huru na wa haki, huku tukiamini bila upinzani imara, hakuna CCM imara.

Kiukweli kabisa Tanzania, hatuna upinzani imara, hivyo
huu ni ushauri wa bure, kwa Chadema, wa tathmini yangu ya Chadema ilipotoka, ilipo na inapokwenda, na Chadema mko huru kuusoma au kutousoma, kuuelewa au kutoelewa, kuufuata au kutoufuata, au hata kuupuuzia, mimi nitakuwa nimetimiza wajibu wangu.

Ushauri huu nauweka kwenye points format huku nikionyesha nilishauri nini na nini kikatokea.

Highlights
Into ya Chadema
Chadema ile iliyokusudiwa
Mapito ya Chadema
Uimara wa Chadema
Udhaifu wa Chadema
Makosa ya Chadema
Matokeo ya makosa ya Chadema
Chadema ya Sasa
Chadema ilipo
Chadema inapokwenda
A Way Forward.
Hitimisho.

Nawaomba sasa sana sana kwa sasa, jiuzuie kadri uwezavyo msichangie chochote kwanza kwenye uzi huu hadi nondo zitakapo anza kushuka.

Natanguliza shukrani
Karibuni.
Paskali

Sasa bro Pascal the Astrologer mbona unaonjesha halafu una chill ? We unamautabili sana bhana! Hebu tiririka sasa tuone cha kufanya asee !
 
Hata kama Chadema ingekuwa ni Cream de la Cream ya vyama vya Siasa duniani unawezaje kufanya Siasa sehemu ambayo haupati platform sawa ya kufanyia Siasa

Ili Vyama vya Siasa vingine vipate fursa ya Kustawi ni CCM ife no other way..., Zaidi ya hapo ni maigizo na kupoteza rasilimali zetu bure
 
Wanabodi,
Intro
Ingawa wengi humu mnanifahamu, lakini ukifanya jambo ambalo halikuzoeleka, sio vibaya ukijitambulisha upya ili u justifies unafanya kama nani na kwa mamlaka gani.

Jina langu ni Paskali Mayalla, kazi yangu ni mwandishi wa habari wa kujitegemea. Tangu ile Chadema inazaliwa miaka 30 iliyopita, imezaliwa na kunikuta mimi tayari niko newsroom kwa zaidi ya miaka 2, hivyo Chadema imezaliwa naiona, inakuwa naiona, ilipofika peak naiona, na sasa imeanza kusinyaa naiona, na ikiendelea hivi kwa mwendo huu, naiona kule inakoelekea, hivyo hili ni bandiko la ushauri, ili isifike huko ninakokuona mimi.

Miongoni mwa kazi zangu mimi kama mwandishi wa habari, zaidi ya kuandika habari, kuripoti habari na kutangaza habari na vipindi mbalimbali vya Redio, TV na Online media, mimi pia huwa nafanya utafiti wa SWOT Analysis na PEST Analysis (Mtanisamehe, sijui Kiswahili cha maneno hayo.

Hili ni bandiko la SWOT Analysis, na PEST Analysis, ya Miaka 30 ya Chadema huku nikiwashauri wa imarishr strengths zao, na kushughughulikia weakness zao, na kama ikibidi to start afresh, Chadema is start a fresh!.

Mtu Asiye Chadema, Anaishauri Chadema Kama Nani?.
Japo chama cha siasa ni mali ya wanachama, vyama vya siasa nchini Tanzania, vyenye wabunge na madiwani, ambavyo vinapokea ruzuku ya serikali, sio private parties za wanachama tuu, ni public parties za umma, paid by taxpayers money, ndio maana hesabu zake zinakaguliwa na CAG, hivyo sisi as public, mimi nikiwemo, we have all the rights to ask, know or make comments kuhusu all it's affairs, public as well as private.

Declaration of interest.
Mimi ni kada wa chama cha Mapinduzi, ila chama cha Mapinduzi kina makada wengi na wa aina nyingi na makundi mengi, kada mimi ni type impya ya makada wa CCM, tunaitwa CCM Conteporary, tunaoamini katika kutenda haki bin haki, CCM ikishinda uchaguzi, ishinde kwa haki, katika uchaguzi huru na wa haki, huku tukiamini bila upinzani imara, hakuna CCM imara.

Kiukweli kabisa Tanzania, hatuna upinzani imara, hivyo
huu ni ushauri wa bure, kwa Chadema, wa tathmini yangu ya Chadema ilipotoka, ilipo na inapokwenda, na Chadema mko huru kuusoma au kutousoma, kuuelewa au kutoelewa, kuufuata au kutoufuata, au hata kuupuuzia, mimi nitakuwa nimetimiza wajibu wangu.

Ushauri huu nauweka kwenye points format huku nikionyesha nilishauri nini na nini kikatokea.

Highlights
Into ya Chadema
Chadema ile iliyokusudiwa
Mapito ya Chadema
Uimara wa Chadema
Udhaifu wa Chadema
Makosa ya Chadema
Matokeo ya makosa ya Chadema
Chadema ya Sasa
Chadema ilipo
Chadema inapokwenda
A Way Forward.
Hitimisho.

Nawaomba sasa sana sana kwa sasa, jiuzuie kadri uwezavyo msichangie chochote kwanza kwenye uzi huu hadi nondo zitakapo anza kushuka.

Natanguliza shukrani
Karibuni.
Paskali
Pasko, Pasko, Pasko!!

You are unnecessarily too long-winded.

We already know who you are. You don’t need to always introduce yourself.

You can just go straight to the point.

Unaandika[ga] mambo mengi ambayo huwa hayahitajiki katika mada zako.

Learn how to keep it simple, brief, concise, and to the point.

Brevity is the soul of wit 😉

I hope you take my unsolicited advice under advisement….
 
Naona mleta mada una elimu iliyopitwa na wakati hakuna tena kitu kinachoitwa SWOT analyisis kuna SWOC kirefu chake ni Strengh Weakness Opportunities Challenges hiyo Threat haipo tena kwenye analyisis imekuwa replaced na Challenges
 
Kwa umbumbu wa Wa Tz bado sana CHADEMA wana safari ndefu hasa.Hata ikiwa Mwalimu mzuri kiasi gani kama unaowafundisha ni VILAZA basi utakuwa unapoteza muda.
Watanzania wengi wanaiona Chedema kama chama kilichotoka nchi jirani au kimetoka sayari nyingine.Watanzania tujue kabisaaaa kuwa FAILURE yoyote ya CHADEMA ni hasara na maumivu makubwa kwetu.Tuiombeeni sana CDM iendelee kuimarika.CHADEMA ni Watanzania Cyo Mbowe na Mnyika & co hawa hawana cha kupoteza hata wakisema Leo wanarudi ccm, wataenda kula shavu tuu lkn watakaohasarika ni Watanzania wanaohitaji watu wakuwasemea bila wao kuwasupport wasemaji wao.
 
Kwa mazingira ya kisiasa yalivyo ni vigumu sana kufanya tathimini ya mwelekeo wa kisiasa kuihusu chadema . Chadema kwa sasa hawana jukwaa la kusemea ama kuongea na wanachamawake kiongozi yoyote wa chama akijaribu kufanya ivo hukutana na mkono wa chuma hivyo wanachama wa chadema wapo kimya sana wapo kuangalia njia gani wanawezakuitumia ili kuweza japo kujionesha kuwa wapo kwenye ulimwengu wa kisiasa . Angalia kwenye uchaguzi mkuu wa raisi wa 2020 ilioneshafika kuwa chadema ipo tena inanguvu kubwa kuliko kipindi cha nyuma.
 
Chadema ni wajinga sana wameshindwa kujenga ofisi ya chama kwa miaka 30!
Jibia hoja iliyopo,ccm mmetutawala more than 60 yrs kwa kutumia iron hand nini mnaweza kusimama na kujisifia mmefanikiwa?maadui wale wakuu UJINGA,MARADHI na UMASIKINI upo kila sehemu hapa nchini,labda awamu ya kwanza ilijaribu kidogo the rest ni mafisadi tu,chama ni wanachama na wafuasi SIO majengo!
 
Pale pale tu ulipoishia kusema wewe ni kada wa CCM tayari mantiki ya Uzi ilishaisha mkuu,then kama kweli wewe una penda haki bin haki naamini lazima ungeandika kitu kuhusu kesi za kina mbowe(usijifiche kwemue kivuli Cha kesi kuwa mahakamani),So ukimya wako katika issue kama Ile kwa kuzingatia wewe si tu ni mwanahabari bali ni mwanasheria basi usongekosa la kusema japo kwa umbaali,sasa Leo unapoanza kuandika napredict Uzi wako itakuwa katika kubomoa zaidi kuliko kujenga
 
Back
Top Bottom