Miaka 30 niliyonayo sitaki usumbufu.

Miaka 30 niliyonayo sitaki usumbufu.

🤣🤣🤣🤣
Mkuu wanawake ni dawa, ona sasa ulivyochanganyikiwa!!
 
Watu wanatoa maisha yao kwa Mungu wewe unayatoa kwa mwanadamu! Nani alikuambia ukioa unapoteza uhusiano wako na wazazi wako, nani alikudanganya elimu yako inaziba pengo la ndoa!?
 
Siwez oa sitak mchumba mm n single mpaka kifo.uzur mm n msomi nimesoma had chuo kikuu udsm. Maisha yangu naitoa kuwaangalia wazazi wang wanionilea.sio mwanamke ambaye hana uchungu na mimi.
Hata mamaako Hana undugu na babaako. Nae babaako angekuwa na akili kama zako za kusema huyo mamaako ni mwanamke asiye na uchungu nae akaacha kumchukua akaamua kutunza wazazi wake wewe Leo usingekuwepo kuinua Hilo domo kuona wanawake hawana thamani.
 
Wanawake ni vichomii achana nao, wekeza maisha yako kwa mama mzazi.
 
Watu wanatoa maisha yao kwa Mungu wewe unayatoa kwa mwanadamu! Nani alikuambia ukioa unapoteza uhusiano wako na wazazi wako, nani alikudanganya elimu yako inaziba pengo la ndoa!?
Huyo Mungu huwezi kuthibitisha yupo.

Na hata ukitoa maisha yako kwa Mungu, sadaka yako anakula mtu tu.

Huelewi wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom