Miaka 30 niliyonayo sitaki usumbufu.

Miaka 30 niliyonayo sitaki usumbufu.

Siwez oa sitak mchumba mm n single mpaka kifo.uzur mm n msomi nimesoma had chuo kikuu udsm. Maisha yangu naitoa kuwaangalia wazazi wang wanionilea.sio mwanamke ambaye hana uchungu na mimi.
Wewe naye Lisu anakupambania?
 
Wazazi wako hawakupigii kelele uoe? Unaongea kutoka moyoni au unatania? Usipooa utapata wapi watoto kuendeleza uzao wenu? Ina maana huna hamu ya kupiga shoo? Au utakuwa unapiga shoo za short time?
 
Wewe ndio kama mimi sio kama mimi shoga hamna imetokezea tu nimekuwa siwapendi wanawake ata kuwaona zaidi ya mama yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom