Miaka 27 huna mtoto? Jichunguze

Miaka 27 huna mtoto? Jichunguze

na kama anafanya kwa machale
bado haiwezekani?
 
Kama wewe ni mwanaume au mwanamke na umetimiza miaka 27 lakini huna hata mtoto wa kusingiziwa na hata kutoa mimba hujawahi basi unapaswa kujichunguza huenda una matatizo ya kizazi.

Haiwezekani mtu anaefanya ngono hadi kufikisha umri huo hana mtoto, hilo ni tatizo maana maisha ya sasa ni mafupi sana! Sasa kama hutaacha legacy basi ni hatari sana kwako au subiri tu kuitwa babu au bibi na watoto wako.

Wenzako wanaacha kuzaa wewe ndio unaanza
Maisha hayana formula ndugu..kila mtu na alivyoamua kuishi.
 
Kama wewe ni mwanaume au mwanamke na umetimiza miaka 27 lakini huna hata mtoto wa kusingiziwa na hata kutoa mimba hujawahi basi unapaswa kujichunguza huenda una matatizo ya kizazi.

Haiwezekani mtu anaefanya ngono hadi kufikisha umri huo hana mtoto, hilo ni tatizo maana maisha ya sasa ni mafupi sana! Sasa kama hutaacha legacy basi ni hatari sana kwako au subiri tu kuitwa babu au bibi na watoto wako.

Wenzako wanaacha kuzaa wewe ndio unaanza

Waafrika tuna safari ndefu saana kiuelewa. Unahisi kuwa na legacy ni kupata watoto wengi? Hakika ni hapana!!

Leo hii Mwl Nyerere ameacha legacy sio kwa kuwa na watoto wengi akina Makongoro!? La hasha!! Legacy ya Mwl Nyerere imetokana na kutukomboa Watanganyika na si watoto wake.

Hivyo katika maisha cha muhimu ni kufanya jambo zuri na la thamani ili legacy iwe ya kutukuka na sio kutuletea watoto wengi ambao ni kariba ya Le mutuz.

Imbecillic!!
 
Kila mtu ana mipango yake mkuu humu duniani na wingi wa miaka sio kigezo cha kukufanya uwe na mtoto. Umuhimu wa mtu hauthaminiki kwenye jamii etii sababu tuu una mtoto au laa. kuna watu wamewahi kuzaa lakini watoto wao wanaishi kama yatima. Everyone can be a father but it takes someone special to be a daddy and vice versa is true
Mkuu maisha ya sasa ni mafupi sana,kuchelewa kuzaa utakuja umuache mtoto yatima,nyie ndio mnaacha watoto yatima kabisa
 
Mkuu mimi sijasoma international school ila waliosoma international school tulionana wote pale Udsm chuo na wote tunafanya kazi na wengine nimewazidi maisha kabisa
Endelea kukariri, peleka wanao shule ya kata. Hongera kwa kusoma udsm. Afu inaonekana unafatilia sana maisha ya watu, ndio maana unasema ishu za kuzaa kisa unaangalia watu wengine wanaishije,umejuaje umewazidi kimaisha?
 
Kama wewe ni mwanaume au mwanamke na umetimiza miaka 27 lakini huna hata mtoto wa kusingiziwa na hata kutoa mimba hujawahi basi unapaswa kujichunguza huenda una mataso u tizo ya kizazi.

Haiwezekani mtu anaefanya ngono hadi kufikisha umri huo hana mtoto, hilo ni tatizo maana maisha ya sasa ni mafupi sana! Sasa kama hutaacha legacy basi ni hatari sana kwako au subiri tu kuitwa babu au bibi na watoto wako.

Wenzako wanaacha kuzaa wewe ndio unaanza
Nadhani huelewi unachokisema ndugu kila mtu ana maisha yake na plan zake .Let me tell i have one of my friend kazaa two kids on her 40 and she has money analea bila stress mana ashavuna na vya wajukuu so watoto wanakua kilain hata akisepa.You cant gurantee life only God.
 
Waafrika tuna safari ndefu saana kiuelewa. Unahisi kuwa na legacy ni kupata watoto wengi? Hakika ni hapana!!

Leo hii Mwl Nyerere ameacha legacy sio kwa kuwa na watoto wengi akina Makongoro!? La hasha!! Legacy ya Mwl Nyerere imetokana na kutukomboa Watanganyika na si watoto wake.

Hivyo katika maisha cha muhimu ni kufanya jambo zuri na la thamani ili legacy iwe ya kutukuka na sio kutuletea watoto wengi ambao ni kariba ya Le mutuz.

Imbecillic!!
Maneno kuntu kabisa
 
Usimpangie mtu maisha, ndo nyie kwako kuna njaa bhas unatangaza mtaani mwaka huu kuna njaa shame on you
 
Kweli we mjinga unafikiri wenzako wanazaa ovyo ovyo tu,kuzaa sio tatizo tatizo kulea,watoto baadae wanakuja kuishi maisha magumu kwa sababu ya kusikiliza ujinga wako au unafikiri wewe kuwa na mtoto kila mtu lazima awe nae wengine wana matatizo ya asili. pia kuna watu wamezaa watoto wengi na baadae wakafa wote akabaki mwenyewe na mkewe tu!!piga magoti muombe mungu akusamehe kwa upuuzi wako ulioongea, dunia hujaielewa vizuri nakupa pole sana tena muombe mungu sana maishani mwako
 
Ndio maana mnazaa watoto wanaishia kuzagaa mitaani na mkiwapeleka shule basi zile za kidumu mkononi,1st born wangu nilikua na 30 years nilikua na uhakika wa kumlea katika njia sahihi ingawa wadogo zangu walinitangulia ila niliweka malengo mtoto aje anikute nimefanya ABC's sio nisake mtoto kisa umri.
Pata mtoto ukiwa na miaka 18 na mimi 30 ila muhimu wapate malezi bora sioni sababu ya kukimbizana kama wataishia mtaani tu,kwa wale ambao wanahisi wamechelewa fanyeni vitu kwa mipango siku hizi hakuna zile za mtoto kulelewa na babu na bibi au ba'mdogo lazima tujipange hakuna haja ya kuwasikiliza haw wanaowaaminisha eti lazima mtoto aje ukiwa umri fulani.
Kweli kabisa 110%
 
Back
Top Bottom