Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,556
- 9,531
Naandika kwa masikitiko sana
Nikiangalia vijana wanavyoteketea kwa pombe, ugoro, bangi, sigara
Mpaka napata kichefuchefu
Unakutana na kijana miaka 19 mpaka 30 hawajulikani
Ni vijana au wazee nadiriki kuwaita ni watu kati si wazee si vijana yaani wapo wapo tu sura zimepauka nguvu walizobakiza ni za kusukumia mavi tu chooni
Serikali hebu angalieni huu utitiri wa viwanda vya pombe vijana wanaisha
Nikiangalia vijana wanavyoteketea kwa pombe, ugoro, bangi, sigara
Mpaka napata kichefuchefu
Unakutana na kijana miaka 19 mpaka 30 hawajulikani
Ni vijana au wazee nadiriki kuwaita ni watu kati si wazee si vijana yaani wapo wapo tu sura zimepauka nguvu walizobakiza ni za kusukumia mavi tu chooni
Serikali hebu angalieni huu utitiri wa viwanda vya pombe vijana wanaisha