Miaka 2 ongea bureeeee mitandao yote

Miaka 2 ongea bureeeee mitandao yote

Mimi kama nitalipia huduma baada ya miaka 2 kuisha nipo tayari, ni pm.
 
Ukiitiwa Fursa Ujue Wewe Mwenyewe Ndiyo Fursa
Hilo nalo neno.

Labda aweke cv yake hapa isiwe kachomoka kwenye ajira ya tigo na ka software anakafanyia trial kabla wenye tigo yao hawajastuka. Wakija kuamka mliounganishwa nyote mnajumuika kuungana na wabaijibu kesi za uhujumu uchumi.

Cheap is always expensive.
 
Hii hufuma ni ya kweli kwani 20000 kitu gani? Watu wametoa laki shauri yenu.
 
Aah habari za majukum member wa Jf leo tumekuja na huduma ya kuongea bure miaka miwili unapiga kwenda mitandao yote ukiwa na lain ya tigo kwa gharama ya elf 20 tu... Karibuni sana

MALIPO NI BAADA YA HUDUMA

ZINGATIA[emoji116][emoji116]
UAMINIFU MTAJI NAPOKUUNGA ZINGATIA KUNITUMIA PESA MAPEMA KUEPUKA USUMBUFU UTAKAO JITOKEZA NIKIDHANI UNAITAJ KUNITAPELI


KAMA UNASWALI NJOO PM NAOGOPA KUWEKA NAMBA [emoji16]AU ACHA YAKO NAKUPIGIA
Niunge
 
Back
Top Bottom