mangwair

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Miaka 13 bila ALBERT MANGWAIR, May 28, 2013 - May 28, 2026, Continue to rest in peace, Albert Mangwair

    Leo Mei 28, 2026 tunakumbuka miaka 13 tangu tasnia ya muziki wa Tanzania ilipopoteza kipaji cha kipekee—Albert Mangwair, msanii aliyekuwa na sauti ya kipekee na ubunifu uliovuka mipaka ya kawaida. Kifo chake kiliacha pengo kubwa katika ulimwengu wa muziki, lakini mchango wake unaendelea kuishi...
  2. central midfielder

    JamiiForums Tanzania Albert Mangwair

    Kwa ile flow yake,Swaga kwenye beat na aina yake ya kuumiza Collabo, Albert angeweza kufanana na rapper gani pale Marekani. Mimi naona T.I wewe je?
  3. central midfielder

    JamiiForums Tanzania Mangwair vs Chid Benz

    Ndugu zangu wa Hip hop nawaomba hapa kidogo tuwekana sawa. Wanasema kwenye pick yake The Late Albert Mangwair alikuwa mkali sana wa freestyle yani mitindo huru. Na sifa kuu alikuwa na uwezo mkubwa wa kukaa kwenye topic bila kutoka nje ya mada huku akifreestyle tu(nlimsikia juzi kati fareed...
  4. central midfielder

    JamiiForums Tanzania Collabo gani ya Albert Mangwair ukiiskliza unasema humu Cowbama alifunikwa?

    Wakuu kwema? Ndugu zangu wa Hip hop nawaomba hapa. Hivi ni collabo gani ya Albert Mangwair ukiiskliza unasema humu Cowbama alifunikwa. Iwe yake au ya kushirikishwa. Ebu tutaje kwa kila mtu na mtazamo wake.
  5. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Miaka 10 ya kifo cha Albert Mangwair, unamkumbuka kwa ngoma gani mkali huyu?

    Leo Mei 28, 2023 imetimia miaka 10 tangu kutokea kifo cha ghafla cha Nyota wa Hip Hop, Bongo Flava na Mkali wa "Freestyle" kutoka East Zoo Dom, Mangwair au Ngwair au Cowbama Wakati wa uhai wake, alijizolea sifa ikiwemo kuwa na uwezo kuingia studio na kurekodi 'Ngoma' bila kuandika (Freestyle)...
  6. central midfielder

    JamiiForums Tanzania Fid Q Vs Ngwair

    Wadau me Naleta hoja kwenu, kuna watu naona wanaleta list tofauti za wana hiphop kila mtu na mtazamo wake anavyoona yeye, lakini kinachonichanganya kuna baadhi ya watu wanasema kuwa Ngwair alikuwa ni zaidi ya Fid Q kitu ambacho kwangu sijawahi kukubaliana nacho. Maana kwa mtazamo wangu sidhani...
  7. mkuzi

    JamiiForums Tanzania Kumekucha Madawa ya Kulevya: Kina 'Masogange' wawataja waliowatuma!

    Staa muuza nyago kwenye video za wasanii wa muziki wa kizazi kipya na filamu za Kibongo, Agnes Gerald ‘Masogange' na shosti wake, Mellisa Edward kabla ya kupandishwa kizimbani kwa msala wa dawa za kulevya ‘unga' Afrika Kusini waliingizwa kwenye chumba cha mateso kwa saa 24 ili kutaja...
Back
Top Bottom