Mhh! Maskini! Wanamuomba msamaha kwa kosa lipi?

Wewe kwa chuki zako ndo maana ulitumbuliwa mapema tu.
Mwache rais apambane kuweka uchumi wa hii nchi vyema, hata siku mishahara ikipandishwa thamani yake ionekane.

Bila kudhibiti mifumuko ya bei kwa bidhaa, mshahara hata upande bado mzigo utakuwa mkubwa tu kwa watumishi.

WAVUMILIE KIDOGO TU MAMBO YATAKUWA MSWANO.

Kwahiyo sasa hivi mfumuko wa bei umedhibitiwa?
 
Ndo wajiongeze wafanye na shughur nyingine,Kuna sst angu n mwalm wa primary ana ki biashara cha kukopesha na kuuza vitenge, hategemei mshahara na mambo yake yanaenda poa, tatizo Watz uvivu mwingii, angalia mfano nchi Kama China, mtu kaajiliwa sehem 2, au kaajiliwa sehem but kajiajil, ukifika hm saa 11, one hour unaweza fanya kitu ukapata pesa ya kula, weekends, sasa Kama unapenda fuatilia movie na tamthilia YOU WILL DIE POOR

Unafikiri kila anayefanya biashara nje ya kazi anafanikiwa changamoto zipo kibao,usione watu kuwa ni wazembe,pia kupandishwa madaraja si hisani ni kwa mujibu wa sheria.Kikubwa jifunze kuandika kwanza wewe bado mdogo kua uyaone na siyo maghorofa.
 
kiukweil hali ni mbaya,kila nikijaribu kujitoa salary advance nashindwa,mwaka wa 2 sasa,mjomba sikia kilio chetu watumishi tunadhalilika mtaani kwa madeni.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Unafikiri kila anayefanya biashara nje ya kazi anafanikiwa changamoto zipo kibao,usione watu kuwa ni wazembe,pia kupandishwa madaraja si hisani ni kwa mujibu wa sheria.Kikubwa jifunze kuandika kwanza wewe bado mdogo kua uyaone na siyo maghorofa.
Changamoto hzoo ndo elim itumike kuzitatua, hakuna kitu kisichokuwa na changamoto, hata hiyo mishahara kutoongenzeka ndo changamoto ya waajiriwa wa tz at this moment, sasa tofaut itakuja jins ya kutatua, Kuna wanaoishia kulaumu wengine wanatafuta majawabu
 
Na kusifiwa kwamba alikuwa mchapakazi hodari.

Huu uzi unanifanya nijutie uzembe wangu wa kuwekeza tangu naanza kazi kiasi kwamba siku hizi ningekuwa namiliki uchumi mkubwa badala ya kumtegemea Baba Jesca.

Mnaoanza kazi siku hizi jipangeni kuwekeza badala ya kusubiri mwisho wa mwezi
Mkuu watawekeza vp wakati wakipatacho mwisho wa mwezi unamuwezesha kuishi kwa siku kumi tu?? 90% ya Watumishi hakuna asiye na mikopo kuanzia Mitaani Mabenki na hata kwenye sacos zao. Hata kuwa hewani unaweza kuta kakopa kifurushi cha Wiki ili aweza kuingia humu na pia kuweza kuingia WhatsApp kwajili ya magroup mbalimbali.
 
Wewe kwa chuki zako ndo maana ulitumbuliwa mapema tu.
Mwache rais apambane kuweka uchumi wa hii nchi vyema, hata siku mishahara ikipandishwa thamani yake ionekane.

Bila kudhibiti mifumuko ya bei kwa bidhaa, mshahara hata upande bado mzigo utakuwa mkubwa tu kwa watumishi.

WAVUMILIE KIDOGO TU MAMBO YATAKUWA MSWANO.
Mfumuko upi?? Alipoingia Madarakani 2015 mafuta ya kupikia/kula lita moja ilikuwa kiasi gani na sasa hivi ikoje??? Huo ni mfano mdogo tu.
 
Mkuu hapa naona umeweka ubaguzi. mfanyakazi ni mfanyakazi bila kujali yupo serikalini au kampuni binafsi.
kwa ufahamu wangu mdogo,mliopo serikalini hasa hasa mamlaka(EWURA,PURA,LATRA,TRA,TCRA n.k) nao wamekutuma uombe msamaha?
Umechunguza wafanyakazi waliopo makampuni ya wahindi na wachina wanalipwaje ukilinganisha na mliopo serikalini ?
kwa ufupi sisi tuliopo makampuni binafsi tunawaonea wivu,sema tu nafasi za kuajiriwa serikalini ni kidogo tunalazimika kwenda makampuni binafsi. Suala la mfanya kazi kuwa na TIN nampongeza rais maana hata tulipokuwa hatuna TIN tulilipa pay as you earn wakati mamalaka hazikutambui kama mlipa kodi,utaratibu uliopo kwa sasa ni mzuri maana hata mimi natambulika kama mlipa kodi.
Ukienda dukani kkoo kwa kiasi fulani thamani ya fedha yako ndogo unaiona,ikilinganishwa na zamani ambapo fedha ndogo ya mshahara ilipambanishwa na fedha ya vigogo waliopiga mabilioni ya fedha na kwenda shopping ambapo wafanya biashara waliuza kwa faida zaidi ya mara mbili. Ni kweli kwa sasa mishahara haijaongezeka lakini kitu kinaitwa value for money kinaonekana.
Mnafiki mkubwa wewe.Vitu vinapanda bei kila kukicha alafu unasema hii hela ina thamani! Kama unanufaika na huu utawala kaa kimya na si kuongea ujinga humu.Mbinafsi mkubwa wewe!
 
"Ndoa zetu sasa hivi ziko hatarini, wake zetu wanatudhania wote tuna tabia za wangoni kumbe shida yetu ni hela"

Ameharibu kwanini atutaje wangoni. Mheshimiwa endelea kukaza, mitano tena
 
Takwimu za idadi ya watu Tanzania hadi mwaka 2020 58.5M na Kati ya hao watu, zaidi ya watu 30M wako kwenye kundi la wazalishaji mali.

0-14 years: 42.7% (male 12,632,772/female 12,369,115)
15-24 years: 20.39% (male 5,988,208/female 5,948,134)
25-54 years: 30.31% (male 8,903,629/female 8,844,180)
55-64 years: 3.52% (male 954,251/female 1,107,717)
65 years and over: 3.08% (male 747,934/female 1,056,905) (2020 est.)

Kwenye 30M people serikali imeajiri watu watu wasiozidi 1M ikiwa ni pamoja na serikali kuu, serikali za mitaa na agency za serikali.
Waliobaki wako kwenye ajira za sekta binafsi ikiwa ni pamoja na ajira za moja kwa moja toka kwa wawekezaji wazawa na wageni, kilimo na ufugaji kazi ambazo wengi wetu tunazidharau

Kuongeza mshahara ni jambo jema kwa ustawi wa wafanyakazi japo hakuna mshahara uliwahi mtosha mtu.
Nyongeza ya mshahara inategemea sana na uzalishaji mali, ongezeko la kudumu la mapato na vipaumbele katika uzalishaji mali.

Ofisi nyingi za serikali zinahusika na kutoa huduma zaidi ya kuzalisha mali na kutengeneza faida inayoonekana, kwa hiyo kuongeza mshahara sio zoezi la kuamka na kutamka tuu. Usishangae nyongeza ya mshahara kwa hawa watumishi wa umma ikailazimu serikali kutafta trilion2 au zaidi juu ya kile wanacholipwa sasa kila mwezi. Lazima kuwe na uhakika kwamba vyanzo vya mapato vya serikali vitaweza kulipa kiasi cha mshahara kwa wakati.

Serikali yetu ni serikali sikivu, sisi milioni moja tunaosupport wazalishaji mali tuendelee kupambana kwenye maofisi yetu katika kutoa huduma nzuri ili wateja wetu ambao wengi wao ndio wazalishaji mali waweze kuongeza
 
Imeandikwa na Faraja Kristomus, mwandishi anafundisha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na anapatikana kwa simu ya mkononi 0787525396
Hii hapa ndiyo nzuri zaidi.

Huyu jamaa hajui kwamba "Tanzania ni nchi tajiri sana"? "Mabeberu" kila siku wanaitamani kiasi cha wao kutaka kutuangamiza kwa kutuletea corona!

Yeye haoni akina Halima Mdee na wenzake, na kundi zima la CCM wanavyofaidi utajiri mkubwa wa nchi hii?

Mtu una akili ya kutosha kukufikisha choo kikuu halafu unabweteka hapo na kulialia. Kwani haoni wenzake, kama yule Katibu Mkuu wa Kijani, na Profesa wa 'Jalalani' walivyoneemeka? Haoni akina Popole wanavyoongeza uzito kwenye miili yao iliyokuwa imesinyaa?

Halafu mtu mzima anakwenda kuomba msamaha..., asamehewe kwa kuwa kilaza?
 
Umembembeleza kwa sababu mhusika anapenda watu wanyonge kama wewe,elimu yako umeitupa kule sababu ya mtu mmoja,mawazo yako umeyatupa kule sababu ya mtu mmoja,umri wako umeutupa kule sababu ya mtu mmoja,heshima yako umeitupa kule sababu ya mtu mmoja,huo ni utumwa.
Mistari miwili yenye maneno mazito kweli kweli, kiasi kwamba huyo uliyemjibu hataweza kuelewa ulichoandika!
 
Hii nchi inavijana wengi wasomi wamezagaa mitaani, kama kunamfanyakazi anaona hatendewi haki, mara moja na haraka sana
bila shuruti aache kazi, ili kusudi waingie vijana wasomi na wachapakazi walokosa ajira, rizikeni na jiongezeni na mnachokipata.
Huu utopolo .....,..kwamba lengo la kuajiriwa ni ili kukiwa na mapungufu usiyaseme bali ujiondoe? Kwa mantiki yako, hata kwenye ndoa, mmoja wa wanandoa asiporidhika aachoe ngazi street wako wadada na wakaka wengi watachukua nafasi,......eeee! Kanisani nako kama huridhiki na kiongozi nenda kwa gwajima na kesho gwajima akikuchosha nenda kwa mzee wa upako khaaaaa!
 
Back
Top Bottom