Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,287
- 10,702
Kaacha dokta mmoja tu Rais anapiga kelele kama zote je wakiacha wote si ndiyo atachanganyikiwa kabisaHii nchi inavijana wengi wasomi wamezagaa mitaani, kama kunamfanyakazi anaona hatendewi haki, mara moja na haraka sana
bila shuruti aache kazi, ili kusudi waingie vijana wasomi na wachapakazi walokosa ajira, rizikeni na jiongezeni na mnachokipata.